pamoja na mizengwe ya chadema makao kufanya mizengwe wanatarime wamejisimamia.tumeshinda halmashauri na kikao cha baraza la halmashauri kinaendelea hakuna kulala.
Hizi ndo thread za siku hizi...!!!
Hapo kajitutumua na kujikamua akatoka na mada hii.. Ametimua mbio utafikiri kaambiwa ukiwa wa kwanza kuanzisha mada unapewa Benz. .!! kazi kwelikweli
BACK TANGANYIKA
pamoja na mizengwe ya chadema makao kufanya mizengwe wanatarime wamejisimamia.tumeshinda halmashauri na kikao cha baraza la halmashauri kinaendelea hakuna kulala.
Ulikuwa ni mpambano kati ya Mbowe na Uongozi wa CDM Tarime.