Royal oven pale matukio huwa ysnatokeaaga sanaUjambaz wa silaha unaongezeka taratibu Dar... kuna jamaa wanavamia usiku kwenye majumba na bunduki na kuiba simu, laptop na tv maeneo ya wazo.... juzi maeneo ya Royal oven pale mlalakuwa JKT.. jamaa walikuja na pikipiki na bastola, wakapora begi la mwana dada aliye shuka kununua vitafunwa na kumwacha mwenzie kwenye gari.... kama hawa jamaa wanatumia bastola/ bunduki kuiba vitu vidogo vidogo maana yake kwa sasa silaha ziko nyingi mtaani na ni hatari sana....Kova plz kaza buti Dar iwe salama.
Wawadhibiti kama wanavyodhibiti maandamano ya chadema
Wawadhibiti kama wanavyodhibiti maandamano ya chadema