kima cha chini 315,000/=

kima cha chini 315,000/=

Hata kiduchu. Gharama za maisha ni mara 4-5 na inazidi kupanda kila siku.
Na hakuna pesa inayotosha kwa binadamu yeyote yule.

Muhimu ni kuangalia gharama za bidhaa na si kuendelea kushusha thamani ya shilingi.
 
Haitoshi kabisa, hebu igawanye kwa 4 alafu utajua kuwa kila mwanafamilia anatumia kiasi gani kwa mwezi na hiyo ni familia ya baba mama na watoto wawili tu!
 
adding the the salary to employees,for me is not the solution.they should control inflation and price of the goods.
 
Akihojiwa na TBC katibu mkuu CWT alisema upo mchakato wa kuainisha gharama mpya za maisha kwa sasa. Sema tu wamechelewa. Hata nyongeza yenyewe haitakaribia kima cha zamani.
 
Wanachofanya hapa ni siasa zaidi siyo Professional people at work. Huwezi kuongeza mshahara wakati inflation inapanda kila sekunde 30. Ni changa la macho, kinachofanyika hapa ni wizi tu hakuna kingine.
 
yeah but wataalamu wamekaa na kusuggest hicho. Lakini kodi yenyewe iko wapi ya kupata hiyo nyongeza ya misharara. The economy is collapsing
 
Back
Top Bottom