Kim Poulsen kocha mpya Simba

Wataletaje kocha aliyevunjiwa mkataba na TFF? Au ndio anakuja kutoa ushahidi dhidi ya TFF kuhusiana na fedha alizodaiwa kulipwa? Hii si mikakati ya Ndumbaru dhidi ya Malinzi? Mungu wangu!

mwangalingimungu Kocha Kim Poulsen alilipwa stahili zake,tena mbele ya viongozi wa Serikali,na alisaini hati ya kuridhika na malipo yake,everything is documented.
 
Last edited by a moderator:
Simba mpaka sasa haijapoteza mechi hata moja! Mnataka nini tena?
 
Ligi ya vpl inadhaminiwa na TBL?
 

mkuu utakuwa unaumwa c bure! Hujui hta ligi inadhaminiwa na nani? Binafsi kuzilimganisha simba na yanga na azam Ni kitendo cha aibu kwangu,kusema kwmba azam wana miaka Saba toka waanzishe timu Yao na still wana miundo mbinu ya kisasa ya mazoez huku hawa wakubwa wawili kila siku wapo kwny malisho ya ng'ombe,kwangu its a shame ingawa kwako Ni jambo la kujivunia
 

ndio tatizo la kuongozwa na wababaishaji.
 



Mnapotoa mifano jitahidi kuwa na kumbukumbu nzuri. Kama unataka kulinganisha 'mafanikio' ya Simba na Yanga kimataifa dhidi ya hizi timu ngeni utakuwa unalinganisha mlima na kichuguu.

Ni timu ipi inaizidi Simba na Yanga kimataifa?
 
Nina wasiwasi tunatofautiana kuhusu tafsiri ya neno 'kulinganisha', maana kadri unavyonishangaa mimi kwa kuzilinganisha timu hizo, wewe ndio unaishia kufanya hivyohivyo! Ajabu iliyoje!
 
Mnapotoa mifano jitahidi kuwa na kumbukumbu nzuri. Kama unataka kulinganisha 'mafanikio' ya Simba na Yanga kimataifa dhidi ya hizi timu ngeni utakuwa unalinganisha mlima na kichuguu.

Ni timu ipi inaizidi Simba na Yanga kimataifa?

Zizidi kwa lipi?

Ndani ya decade hii zimeshawahi kucheza hata hata ya makundi?

Simba na Yanga ni timu kongwe ila azam ni timu kubwa
 
Heshima kwako Mkuu!naomba Maelezo kuhusu Ngasa na mfungaji bora wa champions league.
Hewalla mkuu, ingawa sijapata kusema kuwa hakulipwa, nimesema labda analetwa kutoa ushahidi dhidi ya TFF. Kwa habari hizi, ingekuwa ni vyema kwa TFF kuja nchini. Au labda baada ya kusikia kauli yako hiyo ndiyo Simba wakaachana na mpango. Huo!
 
Mnapotoa mifano jitahidi kuwa na kumbukumbu nzuri. Kama unataka kulinganisha 'mafanikio' ya Simba na Yanga kimataifa dhidi ya hizi timu ngeni utakuwa unalinganisha mlima na kichuguu.

Ni timu ipi inaizidi Simba na Yanga kimataifa?

Hakuna!
 
Mnapotoa mifano jitahidi kuwa na kumbukumbu nzuri. Kama unataka kulinganisha 'mafanikio' ya Simba na Yanga kimataifa dhidi ya hizi timu ngeni utakuwa unalinganisha mlima na kichuguu.

Ni timu ipi inaizidi Simba na Yanga kimataifa?
nikumbusheni matokeo ya Mbeya City Kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…