KERO Kiluvya Kwa Sumaye Hakuna Umeme

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Eng Daniel

New Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1
Reaction score
2
Yaani Kiluvya kwa Sumaye, 4km kutokea barabara ya Njia 6 kweli hakuna umeme?. Nguzo 17 kuwasaidia wananchi wapate Umeme imekuwa ni changamoto? Napata mashaka na seriousness wa Tanesco Kibaha.
 
Yaani Kiluvya kwa Sumaye, 4km kutokea barabara ya Njia 6 kweli hakuna umeme?. Nguzo 17 kuwasaidia wananchi wapate Umeme imekuwa ni changamoto? Napata mashaka na seriousness wa Tanesco Kibaha.
Huko wanatakiwa kuungwa na umeme wa REA ule, walipie Tshs. 27,000/= tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…