Posted 24th May 2011 13:08Nilikuwa nasoma gazeti la Tanzania daima leo, nikakutana na kitu cha ajabu!
Inadaiwa katibu wa CCM Mkoa wa Dar es salaam bwana Kilumbe Ng'enda amemtuhumu mbunge wa Kinondoni bwana IDD AZZAN kuwa ni muuza dawa za kulevya hivyo aache kuwa nyooshea vidole vingozi wa mkoa kuwa wajivue gamaba kwani nayeye si mwanminifu.....
SOURCE: IPASHE JUMAPILI - http://www.ippmedia.com/frontend/?l=30067Kilumbe anaelezwa kwamba alimsema hadharani Mbunge Azzan kuwa anahusika na biashara ya dawa za kulevya katika kikao cha UVCCM wilaya ya Kinondoni, na hivyo kuharibu hali ya hewa.
Azzan alikuwa anampiga madongo Zarina Madabida [ viti maalum CCM Dsm] … walizikana kwenye biashara zao za madawa ya kulevya si unajua tena ubunge ndio pazia ya kuficha hayo madudu yao. Kama unabisha ulizia kesi ya yule dada ya mbunge Munde Tambwe [viti maalum CCM Tabora] aliyekamatwa kiwanja cha ndege akiwa na madawa ya kulevya imeishia wapi?
Mfanya biashara mkubwa Nguli wa madawa ya kulevya hata pale Magogoni wanajua!
Huwa nawashangaa watu. Sijui labda huwa hawasomi au ni uharaka wa kusahau? Idd Azan hakuanza kusemwa leo kwenye hiyo biashara ya madawa ya kulevya na kutakasa pesa kwa kununua mikoko.Duhh kumbe haijaanzaa leo!!
Tembelea: Mh. Iddi Azan anafanya biashara gani?Langu kwa leo ni kutaka mnisaidie kufahamu, Mh. Iddi Azan mbunge wa Kinondoni anajushughulisha na biashara gani hadi kupelekea kumiliki vitu vingi vya thamani kubwa kama magari ya kifahari sana kuliko mbunge yeyote hapa Tanzania na hadi kulingana na wafanyabiashara wakubwa.
mkuu umemaliza kabisa...Huwa nawashangaa watu. Sijui labda huwa hawasomi au ni uharaka wa kusahau? Idd Azan hakuanza kusemwa leo kwenye hiyo biashara ya madawa ya kulevya na kutakasa pesa kwa kununua mikoko.
Iwapo Ridhwani alikamatwa na hayo madawa huko China na akaachiwa kwa kuiweka nchi rehani ,je unafikiri vyombo vya dola hii vina moral authority ya kuwakamata wengine wanaohusishwa na biashara hiyo??
Yani he treats us (people who gave him the job) like ------, anaifanya Tz, her people and their children wase..ge. THANK YOU MR.PRESIDENT!haya mambo si kwamba Rais hayajui anafahamu vizuri saana, anawafumbia macho maana ndo wafadhiri wa kampeni zake