Kilio cha wanawake

Joined
Jul 26, 2015
Posts
49
Reaction score
30
Wakuu habari zenu

Leo napenda kushiriki nanyi jambo hili. Mara nyingi niwapo na Wifi/ Shemeji yenu uwa napenda sana kumwona akilia na kutoa chozi kwa ajili yangu.

Muda mwingine namchokoza Mwenyewe tu. Basi dakika sifuri mchooziii huo.
Alafu anajua kubembeleza.

Hapo mimi raha hadi uvunguni mwa moyo.

Via ukipendwa pendeka
 
Sometimes wanaume mnakuwa na roho mbaya sana. Mnapenda kuumiza wenza wenu kisa mnajiamini mnapendwa. Chozi la mwanamke ni andiko na lazima litimie. Kama hupendi kumuona mama yako mzazi analia. Epuka kumuumiza mwenza wako. Mdhamini mke wako kama unavyomdhamini mama yako. Kujiamin kwako kwa kumtenda mwenzio just ili alie hayo machozi lazima yalipwe. Kwa namna gani yatalipwa sijui lkn dont heart a beautiful heart of a woman!!
 
unamuumiza mwenzako kisaikolojia...atachoka na atakuacha aende kwa mwanaume ambaye hamfanyi alie kila mara...shauri yako, endelea na utoto wako
 
Tuko tofaut sana.Mi huwa napenda kuona girl wangu anakuwa na furaha mda wote na huwa naumia nikiona hana furaha.Huwa niko radhi niingie gharama awe na furaha.Sjui ndo mana kila girl nnaekuw nae hawezi niacha labda nimuache Mimi!
 

Upo in truth kwa hii status yako tena upo perfect mbaya Nakupenda kuumiza ipo cku ataumizwa
 
kuna kipindi zamu yako itafika wewe ndio utakuwa unashinda unamlilia. Hata hivyo sasa hivi unaweza kudhani analia kumbe anakuzodoa tu. Anapolia anajua anachokifanya, kama hakijui basi atakijua muda mfupi ujao na utaona matokeo yake. Chezea wanawake wewe. Utaumia mwenyewe.
 
labda kama hajielewi ila kama ansjielewa basi aliishausoma mchezo amegundua udhaifu wako...

take care
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…