Kilimo cha nyanya

Kilimo cha nyanya

Joined
Apr 15, 2019
Posts
14
Reaction score
4
Nyanya ni zao la mboga linalolimwa sehemu nyingi duniani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama zao la biashara.

Nyanya ni aina ya mboga inayo zalishwa kwa wingi sana duniani.

Kwa Tanzania, nyanya ni zao la kwanza katika mazao ya mboga linalolimwa na kuliwa kwa wingi ukilinganisha na mboga zingine.

Nyanya hutumika karibu katika kila mlo.

Kulingana na umuhimu wa zao hili kama chakula na pia kama zao linalomwingizia kipato mkulima, kuna haja ya kutoa mafunzo kuhusu mbinu bora za uzalishaji wake.

Karibu upate huduma za kitaalamu

Simu:
+255 712 253 102
+255 625 994 024
+255 765 291 489

Email:
kilimotz3@gmail.com

#Kilimo_tz
#homeofourfamers
#keepenvironmentgreen #mbogamboga #kilimo_tz #kilimo #kilimotz #mifugo #mifugotz #homeofourfamers # #mifugo_tz #feedthefuture #dsm #tanzania #kilimo #agricultural #farmhouse #tanzania #papai #nyanya #vitunguu #daressalaam #morogoro #tango #tikiti #karoti #piripiri #farm #farming
IMG_20190423_090423_818.jpeg
 
Soko unapaswa kulitengeneza mwenyewe kaka. Mimi nilikuwa nawaza kama wewe kwa upande wa Mishumaa, nikasema sipaswi kusubiri fulani nisiyemjua aje kunihakikishia soko. Nikaamua kulitengeneza mwenyewe, sasa nina wateja wa uhakika
Tatizo soko la uhakika
 
Ni kweli nina mpango wa kulima nyanya, shida maji na usimamizi na mda au msimu mzuri wa soko, nia ninayo, uwezo ninao sasa unanishaurije mtaalamu?
 
Back
Top Bottom