Mbegu gani imetumika?Habari Guys, natumaini mpo salama.
Mimi ni mgeni wa kilimo, naomba kuuliza... ekari 6 za kikimo cha muhogo, kilicho tunzwa kawaida, kina wastani wa chini wa gunia ngapi?
Nineuliza sababu nilisikia watu wakibishana hakivuki gunia 100!
Kuna forum humu ya kilimo,utakuta maelezo ya kilimo Cha muhogo huko, tafuta.Habari Guys, natumaini mpo salama.
Mimi ni mgeni wa kilimo, naomba kuuliza... ekari 6 za kikimo cha muhogo, kilicho tunzwa kawaida, kina wastani wa chini wa gunia ngapi?
Nineuliza sababu nilisikia watu wakibishana hakivuki gunia 100!
Mkuu nijuavyo Mimi muhogo au udaga huku Kanda ya Ziwa ni zao ambali Kwa Hela unaweza toa zaidi ya gunia 35. Sisi ndo zao lilotukuza na kutusomesha japo sikuwa makini sana kupima kuwa heka unaweza toa gunia ngapi lakini tuta Moja tu lilishiba mihogo lilikuwa linatoa gunia1 hadi2! Kuna mbegu fln ilikuwa inaachwa mwaka na miezi8 ndo inavuna Kwa kiasi hicho huku inaitwa Lumala ni Kwa ajiri udaga na Gongo tu ng'ombe akila mihogo au majani yake anakufaKuna forum humu ya kilimo,utakuta maelezo ya kilimo Cha muhogo huko, tafuta.
Helo Ebrahim98 nbegu bora ya Muhogo mfano TARICASS-4, Mkumba n.k ukiipanda kwa mbolea na chokaa, udongo mzuri, hali ya hewa (mvua) ikawa nzuri, tegemea kupata tani 12 kwa ekari.Habari Guys, natumaini mpo salama.
Mimi ni mgeni wa kilimo, naomba kuuliza... ekari 6 za kikimo cha muhogo, kilicho tunzwa kawaida, kina wastani wa chini wa gunia ngapi?
Nineuliza sababu nilisikia watu wakibishana hakivuki gunia 100!