BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,125
- 732
Nimepata wazo kwa sisi tulioshika mashamba makubwa ni bora kuyalima miti.
Wanasema maembe baada ya miaka 3 utaanza kuvuna maembe na kufikia miaka 5 hadi maembe 500 utapata.
Kwa mitiki, wao utavuna baada ya miaka 10.
Wanasema maembe baada ya miaka 3 utaanza kuvuna maembe na kufikia miaka 5 hadi maembe 500 utapata.
Kwa mitiki, wao utavuna baada ya miaka 10.