Mku dakawa ipo Gereza la mbigiri auDakawa ni sehemu ambayo ni Tambarale kipindi cha masika mvua huwa ni nyingi(hadi afuriko huwa yanakuwepo),nakushauri kwa Dakawa zao litakalofaa ni Mpunga,kama ni Mahindi nenda kata ya Doma,Pemba,Maskati,Kibati,Diongoya,Homboza etc
Asante kwa ushauriDakawa ni sehemu ambayo ni Tambarale kipindi cha masika mvua huwa ni nyingi(hadi afuriko huwa yanakuwepo),nakushauri kwa Dakawa zao litakalofaa ni Mpunga,kama ni Mahindi nenda kata ya Doma,Pemba,Maskati,Kibati,Diongoya,Homboza etc
siyo sehemu nzuri ya kulima mahindi kuna joto kali,mahindi hayastawi vizuri ila mpunga una stawi vizuriWakuu Mwenye uzoefu wa kilimo cha mahindi Dakawa kuanzia upatikanaji mashamba ya kukodi,kulima,mavuno na makadirio ya gharama kwa heka kuandaa shamba mpaka kuvuna.
Natanguliza shukrani.
Kwa kuongezea tu saivi kunashida sana ya aridhi hii ni baada ya magereza kuwanyang'anya melefu ya heka kwa ajili ya kiwanda cha miwa mbigiri. Si unajua tena ni viwonderSawa mkuu