Bei za mazao ziwe zinatabirika!, na zenye tija kwa mkulima.
Watu watatafuta maji popote ili kulima.
Kilimo kwa baadhi ya mazao, licha ya kuwa na uhakika wa maji, kimetelekezwa kutokana na hasara.
Vijana wamerundika barabarani wakichuuza bidhaa za mchina ili kukimbia kilimo