Tanzania ina Aridhi kubwa sana. Ukipanda Gari toka Dar hadi Morogoro ni Aridhi isiyo kuwa mtu.
Hizi Techinolojia ni kwa nchi zenye uhaba sana wa Aridhi. Nchi kama India wanatumia sana na baadhi ya nchi za ulaya na sana ASIA.
Huwezi lima kwa hydroponic then ushindane na wa Oppen Field.