Mkyamise
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 526
- 677
Habari za Leo wanabodi? Ninaamini JF ni kisima cha utaalam. Ninaomba kueleweshwa namna ya kuanzisha kilimo cha greenhouse. Pia gharama zake, upatikanaji wa vifaa na pembejeo kwa hapa Tanzania hususan Mwanza. Ninataka kuanzisha shughuli hii lakini siifahamu kwa undani. Nitashukuru kwa mchango wenu.