Nakushauri Moro pale mjini...Moshi pawe chaguo la piliKaribu mwenye ufahamu zaidi juu ya hii mikoa miwili, Kiuchumi na Kijamii!
naamBiashara ndogondogo moshi pako vizuri
mbeya naifHam sanaMbeya
mbeya naifHam sana
mbeya hakuna hela n kilimo tu mbeya ukiwa na jero n bajeti ya cku mbili
sado ya nyanya buku jero,mboga fungu 100

KilimanjaroKaribu mwenye ufahamu zaidi juu ya hii mikoa miwili, Kiuchumi na Kijamii!
bro, mm nataka nije apo mwanza ,vp vibiashara vidogovidogo vinafanyika? pia nataka chumba vp bei ? alaf niambie ni maeneo gani mwanza naweza kufanya vibishara hivyo? plzMwanza
Karibu mwenye ufahamu zaidi juu ya hii mikoa miwili, Kiuchumi na Kijamii!
Morogoro kuna mzunguko mkubwa wa niniNinachojua tu ni kwamba Kilimanjaro kuna mzunguko mkubwa wa dhuluma na Morogoro kuna mzunguko mkubwa wa ndumba.
Morogoro kuna mzunguko mkubwa wa nini
Inaitwa African ChemistryAfrican Traditional Science ( ATS )