figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,498
- 54,923
Hutoi hata pole Mkuu?napita tu
Sijakuelewa mkuu, ila inasemekana mdude alichukuliwa na polisiTunampa pole shetani.
RCO wa Ilala Jijini Dar SSP Mbise taarifa zinasema kuwa amefariki dunia muda huu wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro kwa ajali ya Gari akiwa safarini.
Taarifa zinasema kuwa RCO Mbise alikuwa anaelekea nyumbani kwao kwa mapumziko ya kikazi.
Amepoteza mfuasiSijakuelewa mkuu, ila inasemekana mdude alichukuliwa na polisi