Ingekuwa hoja basi angeshinda WizKid! Hoja zingine zimekaa kiporojo zaidi... kwa mfano, suala la Ali Kiba cjui lina uhusiano gani na kutopata tuzo kwake unless kama tu ulitaka ku-force kumlinganisha nae ingawaje unafahamu mmoja ni BET nominee in two years row na mwingine tangu dunia hii ianze hajawahi kuwa nominated!1) Hakuwa na kazi inayoeleweka ambayo ingemfanya aongeleke au jina lake lizunguke vichwani mwa watu