Kilichojiri Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema, Mikocheni DSM!

Kisera - ❌

Kisela -✔️

Huu msemo wa kisela ( sailor )/ baharia ulitokea miaka ya 70 mpaka 80 mwishoni baada ya wale mabaharia walipokuwa wakirudi kutoka safari za meli barani ulaya walirudi na pombe cha kopo, vito vya thamani, nguo zilizokuwa zinapendwa na vijana za enzi hizo ulaya , pesa n.k ndio wakatohoa kuja kuitwa masela/ ma-sailors .

Hivi UPE ilifutwa siku hizi maana machawa naona kigezo cha kukabidhiwa kazi ni lazima uwe ulikimbia umande.?
Na mada wanazo toa basi!!! Hata JMK aliwahi kulalamikia uwezo wa chawa wao🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nchi imesimama inasubiri tamko la chama

Tamko litakuwa tutaendelea kupinga tume huru feki

Tutaendelea kudai katiba

Maandamano Kila wilaya yataendelea

Muunga serikali 3

Au Kuna la tofauti unategemea kusikia bwashee??
Kutuongoza kuingia barabarani wajumbe wa kamati kuu wagawane mikoa ya kimakakati tuwainyeshe nguvu ya Umma
 
Makamu Mwenyekiti mh Tundu Lisu alionekana kuvaa T-shirt ya Bavicha badala ya Gwanda kama Wajumbe wote ndipo tulipoishia......
Na umeshikilia hapo hapo!
Ukiambiwa hakuna mtafaruku wowote uliotokea, bado hutaamini, utatunga tu stori zitakazo wafurahisha Lumumba!
 
Kama alivyokuwaga Sokoine 😂😂

Wazee wa Siku Hizi wanapiga brush nywele 😃😃😃
Duh!
Hivi uliwahi kumwona Sokoine, au hata picha zake tu...; tuonyeshe haya unayo andika hapa. Umeamua kutumia mfano usio endana kabisa na unachotaka watu wakielewe..
Pengine ulikuwa na maana ya kuwafananisha Lissu na Sokoine kwenye maswala mengine, na siyo katika mwonekano wa mavazi.
 
Pamoja na Mtandao kutatizika bado tunasubiri Kamanda Erythrocyte wa Ufipa st utujuze kilichojiri pale Chadema HQ mikocheni kwenye CC

Makamu Mwenyekiti mh Tundu Lisu alionekana kuvaa T-shirt ya Bavicha badala ya Gwanda kama Wajumbe wote ndipo tulipoishia......

Mtandao umerejea 😂😂😂
Mh! Uje upate mke au mume (kadri ya jinsia) maana chadema inakuangaisha sana
 
Mlipokuwa mnazuiwa mlikuwa mnaiamsha nchi. Hata mlipotangaza maandamano nchi nzima ilisimama kama mnavyopenda kusema. Ila kwa sasa MWAFWA. maandamano yenu yamejaa matusi, kejeli watanzania huwa HAWAPENDI tabia hizo. Sijui mtajifunza lini. Lakini kwa kukoswa mvuto kwa wananchi mmeshindwa kupata wafuasi wengi kwenye mikutano yenu kiasi ambacho ufuatiliaji kwenye social media pia umeporomoka vibaya. Kipindi mko vizuri THREAD hii ingekuwa na watazamaji sio chini ya 1000 na wachangiaji 100.
Toeni DJ hapo juu wekeni Heche nyambaff
Kwahiyo kusema muungano Ni wa kimagumashi Ni matusi...Bora Lissu katutoa matongo machoni tunaona na kutuzibua masikio tunasikia. Bora ukweli utakaowanyima usingizi sababu ulaghai Sasa mwisho
 
Back
Top Bottom