BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,533
- 3,838
Duh dk 20? Hahahaah kazi ipoHabari zenu wakuu,
Kwa ambao mmenda interview za asubuhi tungependa mtupe mrejesho wa huko. Hiyo interview ya dakika 20 ipoje? Ni aptitude test au ni interview ya namna gani?
kuangalizia hakujawahi kumuacha mtu saHabari zenu wakuu,
Kwa ambao mmenda interview za asubuhi tungependa mtupe mrejesho wa huko. Hiyo interview ya dakika 20 ipoje? Ni aptitude test au ni interview ya namna gani?
TULIZA MSHONOHabari zenu wakuu,
Kwa ambao mmenda interview za asubuhi tungependa mtupe mrejesho wa huko. Hiyo interview ya dakika 20 ipoje? Ni aptitude test au ni interview ya namna gani?
WATU KWA HARAKAHARAKA KAMA 2500 NADHANI ZAJIONI ZITAKUWA 20000 MANA KUNA JOMBAA ZIPO OFISINI SASAHabari zenu wakuu,
Kwa ambao mmenda interview za asubuhi tungependa mtupe mrejesho wa huko. Hiyo interview ya dakika 20 ipoje? Ni aptitude test au ni interview ya namna gani?
TETESI ZILIZOPO KUNA WATU WAMESHANDALIWA KWA AJIRI YA KUFANYA HII KAZI ...........
SISI TUNAOFANYA INTERVIEW NI KAMA BORTION ILA WATU TAYALI WALISHAANZA KAZII """"".
ACHA KUHISI HISI HIZI AKILI NI KAMA ZA MANDEZI HIVI...SISI TUPO HAPA KWENYE ENEO LA TUKIO NATAMBUA KUWA UNAONA WIVU SANA...
NAJIANDAA KUANZA KAZI PALE PPF FUND, HAPA NISHAWEKA PLAN YA KUVUTA NDINGA
Sent using Jamii Forums mobile app
TETESI ZILIZOPO KUNA WATU WAMESHANDALIWA KWA AJIRI YA KUFANYA HII KAZI ...........
SISI TUNAOFANYA INTERVIEW NI KAMA BORTION ILA WATU TAYALI WALISHAANZA KAZII """"".
AKILI ZA KINDEZI HIZI, SISI TUPO HAPA DUCE NA TUNASUBIRI PEPA YA SAA SITA YAANI LEO HATOKI MTU HADI KIELEWEKE,,,,,
NAJUA UNAUMIA SANA KUTOKUWEPO HAPA JAMVINI..
NA HAPA NINAUHAKIKA WA KUTUSUA NA UTANIKUTA KULE PPF FUND NA ZAIDI NAPIGA PLAN YA KUVUTA NDINGA NA KUTAFUTA MTOTO MKALI SANA
Sent using Jamii Forums mobile app