Kile kichaka Cha 4R za rais kimezikwa rasmi

Kile kichaka Cha 4R za rais kimezikwa rasmi

Boston12

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2025
Posts
506
Reaction score
1,677
Mara nyingi mhe. Rais alipokuwa akishika mic kimataifa alikuwa akijisifia namna alivyo rudisha demokrasia nchini hasa kupitia 4R zake.

Sasa kwa kukamatwa Tundu Lissu mwenyekiti wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA hii imeenda kuondos dhana nzima ya 4R za rais.

Tundu Lissu anataka Reforms za uchaguzi ili uchaguzi uwe wa uhuru na haki, lakini kwenye 4R za rais R mojawapo ni Reforms lakini kwa makusudi, viongozi wanahisi hizi reforms anazodai Lissu kazileta mwenyewe pasipo kuzingatia hili ni takwa la wananchi kupata mabadiliko juu ya mifumo ya siasa, uchumi na ya kiuchaguzi nchini.
 
Mara nyingi mhe. Rais alipokuwa akishika mic kimataifa alikuwa akijisifia namna alivyo rudisha demokrasia nchini hasa kupitia 4R zake.

Sasa kwa kukamatwa Tundu Lissu mwenyekiti wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA hii imeenda kuondos dhana nzima ya 4R za rais.

Tundu Lissu anataka Reforms za uchaguzi ili uchaguzi uwe wa uhuru na haki, lakini kwenye 4R za rais R mojawapo ni Reforms lakini kwa makusudi, viongozi wanahisi hizi reforms anazodai Lissu kazileta mwenyewe pasipo kuzingatia hili ni takwa la wananchi kupata mabadiliko juu ya mifumo ya siasa, uchumi na ya kiuchaguzi nchini.
Kila siku nawaambia 4R sio kuchekea uhaini ni kupambana na wahaini.

View: https://www.instagram.com/reel/DITCT-ngPiK/?igsh=cWxiZ2htcDdneTli
 
Back
Top Bottom