Lakini leo hii hata hao wachache hawathaminiwi badala yake limezuka kundi la mabedui wachache ndio wanaitafuna nchi watakavyo kwa kujiona ni mungu watu, Mwenyezi Mungu awalaani hao mabedui waliojificha kwenye jina la wazalendo
Maamuzi tunayo ya kuwaondoa mumiani,mafisadi na majizi.