Kila siku mnaonewa na mnaishia kulalamika .

Kila siku mnaonewa na mnaishia kulalamika .

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,198
Hivi hawa viongozi wa chadema mnawaelewa kweli wao kila siku ni kulalamika tu hakuna njia yeyote mbadala wanayoweza kuchukua kushughurikia matatizo yao.

Au kuna mtu mmoja upande ule ananufaika na hicho kinachoendelea sasa hivyo anashindwa kutoa maamuzi.

Siwezi kuwa upande wa makamanda wanaolalamika kila tukio,natakiwa kuwa upande wa makamanda wanaotake Action bila kuogopa.

Yaani wao kila siku wanaonewa ,hivi unaonewa bila kuchukua Hatua ya kujitetea kwa kila Onevu linalopita mbele yako.

Alafu bila haya eti wanajiita makamanda.


Bora upande ule wa UVCCM japo kuna ka muonekano ka kubebwa na baba yao lakini wana Viakili kidogo vya kubangaiza na siyo kulalamika bila sababu.
 
Wakajifunze South Africa, jinsi wapinzani wanavyo pambana
 
Hata mimi wananikeraga sana na lawama zao za kila siku bila kuchukuwa hatua yoyote.
 
Back
Top Bottom