Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,754
- 15,227
- Thread starter
- #81
Uko sahihiWewe unaongelea hakuna mvua hayo maji unakunywa jasho ? Yaani mpaka maji yaishe kabisa tutakuwa hatuwazi kuhusu umeme bali kifo..., Bwawa Halinywa maji bali maji yanapita katika njia zake na kuendelea ni kutumia tu ile energy ya maporomoko = F = Mass x Acceleration Kwa upande wa maji na Force its all about Height x density x gravitational Force