kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,060
- 6,758
Nawewe Asante kwa komenti ulotuma kabla!! Unitusi nikusifu? Weka heshima nikuheshimuAsante kwa comment
Nawewe Asante kwa komenti ulotuma kabla!! Unitusi nikusifu? Weka heshima nikuheshimuAsante kwa comment
Sawa 💩Unawaza 💩💩 tuu au kaziyako nikusafisha vyoo
Anafanana sana na Mark
Kusahau na neno migaNingeshangaa sana kama usingemtaja Wakili Msomi mwenzangu Tundu A.M. Lissu. Maana wewe na Lissu, Lissu na wewe. Hakukauki mdomoni mwako. Pamoja na porojo na vituko vyako vyote kwake, Lissu amekuzidi kila kitu. Naamini huwa unaona fahari na unapata wachangiaji wa porojo zako ukiwa unamtaja. Bure kabisa!
Umezuiwa sasa hivi kutumia hizo 2T kwenye gesi?Wewe utakuwa ni kichaa, gharama zilizotumika kwenye huo mradi ni zaidi ya 10T ambapo kwenye gas na makaa ya mawe tungeweza kutumia si zaidi ya 2T hizi 8T zingejenga lami zaidi ya 8000Km hata kijijini kwa babu yako wangepata barabara ya lami.
Kwa bahati mbaya, madhara na faida za Hydro-electic generation against other sources wengi hawayajui na ukweli ni matumizi za mabwawa ya kujenga kujenerate umeme yana madhara mengi kimazingira na huwezi kutemea mabwawa kwa muda mrefu. Okay hili linakaribia kuisha ila baada ya kipindi kifupi sana tutaingie tena kwenye kutafuta mbadala wa hili bwawa ili kupata umeme wa kutosha. Kama nchi inapaswa sasa kuanza kuatafuta vyanzo mbadala sasa na sii kesho.Wakati Rais wa awamu ya tano hayati Magufuli akitangaza kwamba Tanzania inaenda kutekeleza mradi wa kufua umeme wa bwawa la Mwl Nyerere kwa gharama yoyote bila kuangalia makunyanzi ya mtu yoyote, kuna watanzania wenzetu walipinga mradi huo na kutusaliti kwa wazungu ili mradi huo ukwame.
Mungu saidia Magufuli hakulegeza kamba wala kukata tamaa na mradi huo ukaendelea na sasa umekamilika na mashine moja imefungwa hivyo kupelekea kupungua kwa kiasi kikubwa kwa mgao wa umeme uliokuwa unatesa wananchi na kuuwa uchumi wa nchi yetu.
Sasa ili kukomesha tabia ya watanzania wenzetu kusaliti na pia ili kuongeza uzalendo kwa nchi yetu wanasiasa waliohamasisha wananchi kupinga mradi huo wasiruhusiwe kutumia umeme kutoka bwawa la Mwl nyerere.
Wanasiasa hao ni Tundu Lisu, Nape Nnauye, January Makamba, God bless Lema, John Heche, Freeman Mbowe, Sugu, Peter Msigwa, Martin Maranja Masese, Prof Muhongo, Zito Kabwe. Na wengine wengi ambao tutaendelea kuwataja.
Kuongea mitanadaoni ni Rahisi lakini siyo halisia.Wewe utakuwa ni kichaa, gharama zilizotumika kwenye huo mradi ni zaidi ya 10T ambapo kwenye gas na makaa ya mawe tungeweza kutumia si zaidi ya 2T hizi 8T zingejenga lami zaidi ya 8000Km hata kijijini kwa babu yako wangepata barabara ya lami.
Bwawa la Mtera lina miaka mingapi tangu liundwe?Kwa bahati mbaya, madhara na faida za Hydro-electic generation against other sources wengi hawayajui na ukweli ni matumizi za mabwawa ya kujenga kujenerate umeme yana madhara mengi kimazingira na huwezi kutemea mabwawa kwa muda mrefu. Okay hili linakaribia kuisha ila baada ya kipindi kifupi sana tutaingie tena kwenye kutafuta mbadala wa hili bwawa ili kupata umeme wa kutosha. Kama nchi inapaswa sasa kuanza kuatafuta vyanzo mbadala sasa na sii kesho.
Etwege, Bwawa la Mtera lilijengwa kwa ajili ya kustore maji kwa ajili regulate flow to Kidatu etc wakati wa kiangazi. Sii kwa ajili ya kuzalisha umeme as such. Waliweka just small generators pale kwa ajili ya matumimizi yao na majirani wa pale. Tatizo lilipoanza kujitokeza kwenye ile catchment areas from Mbeya, Iringa na maji kupungua ikawalazimu hata kile kidogo kisambazwe kwenye grid. Mbwawa lile limejaa matope. For more information waulize watu wa TANESCO watakueleza. Shida kubwa bwana Utwege, ni hii mabwawa yanategemea sana Catchement area ni nini kinawendelea kule kama ni hiki kilimo chetu, over grazing mnavofanya, kukati miti n.k. Mabwawa hayawezi kuwa sustainable kabisa huo ndio ekweli mchungu. Nchi yetu inageuka jangwa kwa kuchekelea ufugaji usio wa viwango na kilimo holela na ukataji wa miti. Sijui waliokimbia Shinyanga na kukimbilia katavi, Rukwa, Ifakara, Malinyi, Mbuga za Selous, Lindi nk. nako wakimaliza kukata miti yote watakimbilia wapi?Bwawa la Mtera lina miaka mingapi tangu liundwe?
Etwege, Bwawa la Mtera lilijengwa kwa ajili ya kustore maji kwa ajili regulate flow to Kidatu etc wakati wa kiangazi. Sii kwa ajili ya kuzalisha umeme as such. Waliweka just small generators pale kwa ajili ya matumimizi yao na majirani wa pale. Tatizo lilipoanza kujitokeza kwenye ile catchment areas from Mbeya, Iringa na maji kupungua ikawalazimu hata kile kidogo kisambazwe kwenye grid. Mbwawa lile limejaa matope. For more information waulize watu wa TANESCO watakueleza. Shida kubwa bwana Utwege, ni hii mabwawa yanategemea sana Catchement area ni nini kinawendelea kule kama ni hiki kilimo chetu, over grazing mnavofanya, kukati miti n.k. Mabwawa hayawezi kuwa sustainable kabisa huo ndio ekweli mchungu. Nchi yetu inageuka jangwa kwa kuchekelea ufugaji usio wa viwango na kilimo holela na ukataji wa miti. Sijui waliokimbia Shinyanga na kukimbilia katavi, Rukwa, Ifakara, Malinyi, Mbuga za Selous, Lindi nk. nako wakimaliza kukata miti yote watakimbilia wapi?
Maono ya kuchinjaJPM alikuwa na maono ya kweli bahati nzuri machache yameanza kutimia
Cc Erythrocyte
Kwahiyo CCM wenzako wanatoa takwimu za uongo?Kuongea mitanadaoni ni Rahisi lakini siyo halisia.
Etwege, Issue sio limeishi muda gani how efficient is it now. Je tunapata tulichokitarajia hadi sasa?Bwawa la Kidatu lina miaka mingapi tangu liundwe?