Mkuu yaan hawa wasichana wanamatatizo! Kwa nn na sisi wasitupe pesa?? Kwan sote si twapata rahaaa atii?? Kama anataka pesa na wewe mnyime machine yako! Acha uasherati subiri ndoa Mungu anachukia sana uasherati na unzinzi. Jua mwli wako ni hekalu la Mungu.