Kila mtu analake moyoni

Kila mtu analake moyoni

Analyse

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2014
Posts
17,641
Reaction score
47,664
Niaje wanaMMU

Kuna kakisa kadogo kametokea mtaani kwetu huwa nikikumbuka nacheka peke yangu

Kuna siku mida ya jioni tulikuwa tumekaa maskani na washikaji tofauti tofauti kama 6 hivi.

Sasa wakati tunapiga story washikaji wakawa wanamlaumu mwenzetu mmoja kuwa anampenda sana demu wake kiasi kwamba hampi muda wa kuwa peke ake ( it means anambana),jamaa akacheka sana huku akishangaa na kusema kuwa yule dem yy hana mpango nae yaani ni kama anazugia tu wala hajampenda,pia akadai mapenzi yake kwa demu ni kama 20%,jamaa akamponda sana demu wake.

Ila kati yetu tuliokuwa pale skani kuna jamaa mmoja yeye mda wote alikuwa busy anachat tu.

Baada ya story kuisha tukasambaratika ila yule mwenzetu( aliyekuwa anachat) akaenda hadi kwa demu wa mshikaji akaanza kutema madini.

Mwenye demu alipopata taarifa akawaka sana kwa msela,msela akajitetea kuwa mapenzi yake kwa dem ni zaidi ya 100% ila alikuwa anataka ampatie dem 80% anayoikosa kutoka kwa bwana ake.Ugomvi ulikuwa mkubwa sana siku ile,ila chanzo ni kidogo sana

Kama unampenda dem wako aisee husizuge wala kujivunga aisee,kuna watu wapo kimya ila wanamtaka so be care
 
Ukisema cha nini wenzako Wanasema watakipata lini, ukikisahau tu washanyakua.
 
Ndo hivyo tena ukisema cha nini wenzako wanasema nikipate lini.
 
Unaposema wa kazi gani,niliwaza ntampata lini
 
Back
Top Bottom