PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,996
- 2,017
- Thread starter
- #21
mda mwingine mazazi mwezio anataka kukuendesha kwa kutumia mtoto nikujiweka pembeni apambane na hari yake
Kuepuka kuendeshwa mkuu ni kuwa na msimamo. Mfano unasema maadam imeshatokea. Mimi kama baba ntatekeleza hili na hili. Hata kelele zipigwe vipi just do the right thing. Utakuja kuheshimiwa baadae tu