Kila mtu ana anachokisimamia lakini...

Kila mtu ana anachokisimamia lakini...

PetCash

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
1,996
Reaction score
2,017
Habari wanajamvi,
Nimeona tu bora nifungue uzi huu. Najua kila mtu ana maisha yake ,misimamo anayoisimamia na Imani yake.
Lakini tuje kwenye hili swala la Single parenthood na jinsi kasi ilivyokua kubwa. NImesema ParentHood ili kuondoa ubaguzi lakini sana ni Single mother hood (Kwa sababu ni ngumu kwa mama kumtelekeza mtoto zaidi ya baba kumtelekeza).

So, Kuna Condoms, Abstinence (only so you can achieve Things before you come to sex) ,Choose a partner well before sex na kikubwa TUMIA AKILI BEFORE SEX!!

Inasikitisha sana unamvua mtu nguo, unampa mambo kiroho safii na sasa tunda la tendo lenu linapokuja unakimbia mita 468.9875 kwa saa!!?

Wote tumezaliwa na wazazi, haikuwa kazi ndogo kwao kutukubali, kutupokea, kutulea hadi tumekuwa wazima BUT By God they did it! Mungu ndiye anayeumba na kutuweka hai. Kweli tunathubutu kusema sina uwezo wa kumlea huyo mtoto? Wengine wanasema inawezekana si wangu (Kwani uliyemfunua alikuwa wako? Si uliona poa tu?).

Mi nnachoomba ndugu zangu, hasa wanaume wenzangu; Tuoneni huruma hili wimbi wa watoto wenye mzazi mmoja. Mwisho wa siku hii Dunia tunapita tu, hatutakaa miaka mingi. Wazee waliposema kitanda hakizai haramu hawakuwa wajinga.

Kama ulikipanda kitanda tafadhali LEA. Pia ukakutana na mwanamke mzuri ukampenda mwenyewe na ako na mtoto pia LEA, utakuja kubarikiwa huko mbele kwani si kosa la huyo mtoto. Na ukikuta watoto kwenye ndoa usiwatese kwa sababu kama ni kosa ni la huyo uliyempenda.
Naomba kuwasilisha.
 
na huo ndiyo mwisho wa taarifa ya habari.

Endlea kuwa nasi .
 
Petcash.....

Siku hizi dunia imejaa watu washenzi wa kila namna.
Unavyozungumza wewe wana " likes" wanacheeeeeka...
Wanasonya wanasema " hawa ndiyo walewale "
Wanapita kushoto.

 
Seconded Mkuu.

Wanaume wengi pia hawajui matatizo wanayoyapitia ni sababu ya watoto waliowakataa au wanaowakataa.
Huwezi kumkataa mtoto wako ukabaki salama hata siku moja. Kubali ukatae.

Mwenye ufahamu na afahamu.
 
Seconded Mkuu.

Wanaume wengi pia hawajui matatizo wanayoyapitia ni sababu ya watoto waliowakataa au wanaowakataa.
Huwezi kumkataa mtoto wako ukabaki salama hata siku moja. Kubali ukatae.

Mwenye ufahamu na afahamu.

Mwingine anaoa mke hazai, ndo anakumbuka kwenda kumdai mtoto aliyemkataa. Mwingine si kwamba anakataa, anakuwa tu haeleweki yuko upande gani hasa. Kwamba amekubali ama amekataa
 
wajua mara nyingi imetokea wanaume kubambikiwa....hii inapelekea kuwa na hofu sana,,,,ila sio vema kukataa mtoto,, ni malaika - zawadi kutoka kwa Mungu tuwalee....
 
Wanaume mpo? Ujumbe wenu huu muufanyie kazi muache kukimbia majukumu yenu.
 
Habari wanajamvi,
Nimeona tu bora nifungue uzi huu. Najua kila mtu ana maisha yake ,misimamo anayoisimamia na Imani yake.
Lakini tuje kwenye hili swala la Single parenthood na jinsi kasi ilivyokua kubwa. NImesema ParentHood ili kuondoa ubaguzi lakini sana ni Single mother hood (Kwa sababu ni ngumu kwa mama kumtelekeza mtoto zaidi ya baba kumtelekeza).

So, Kuna Condoms, Abstinence (only so you can achieve Things before you come to sex) ,Choose a partner well before sex na kikubwa TUMIA AKILI BEFORE SEX!!

Inasikitisha sana unamvua mtu nguo, unampa mambo kiroho safii na sasa tunda la tendo lenu linapokuja unakimbia mita 468.9875 kwa saa!!?

Wote tumezaliwa na wazazi, haikuwa kazi ndogo kwao kutukubali, kutupokea, kutulea hadi tumekuwa wazima BUT By God they did it! Mungu ndiye anayeumba na kutuweka hai. Kweli tunathubutu kusema sina uwezo wa kumlea huyo mtoto? Wengine wanasema inawezekana si wangu (Kwani uliyemfunua alikuwa wako? Si uliona poa tu?).

Mi nnachoomba ndugu zangu, hasa wanaume wenzangu; Tuoneni huruma hili wimbi wa watoto wenye mzazi mmoja. Mwisho wa siku hii Dunia tunapita tu, hatutakaa miaka mingi. Wazee waliposema kitanda hakizai haramu hawakuwa wajinga.

Kama ulikipanda kitanda tafadhali LEA. Pia ukakutana na mwanamke mzuri ukampenda mwenyewe na ako na mtoto pia LEA, utakuja kubarikiwa huko mbele kwani si kosa la huyo mtoto. Na ukikuta watoto kwenye ndoa usiwatese kwa sababu kama ni kosa ni la huyo uliyempenda.
Naomba kuwasilisha.
mda mwingine mazazi mwezio anataka kukuendesha kwa kutumia mtoto nikujiweka pembeni apambane na hari yake
 
Habari wanajamvi,
Nimeona tu bora nifungue uzi huu. Najua kila mtu ana maisha yake ,misimamo anayoisimamia na Imani yake.
Lakini tuje kwenye hili swala la Single parenthood na jinsi kasi ilivyokua kubwa. NImesema ParentHood ili kuondoa ubaguzi lakini sana ni Single mother hood (Kwa sababu ni ngumu kwa mama kumtelekeza mtoto zaidi ya baba kumtelekeza).

So, Kuna Condoms, Abstinence (only so you can achieve Things before you come to sex) ,Choose a partner well before sex na kikubwa TUMIA AKILI BEFORE SEX!!

Inasikitisha sana unamvua mtu nguo, unampa mambo kiroho safii na sasa tunda la tendo lenu linapokuja unakimbia mita 468.9875 kwa saa!!?

Wote tumezaliwa na wazazi, haikuwa kazi ndogo kwao kutukubali, kutupokea, kutulea hadi tumekuwa wazima BUT By God they did it! Mungu ndiye anayeumba na kutuweka hai. Kweli tunathubutu kusema sina uwezo wa kumlea huyo mtoto? Wengine wanasema inawezekana si wangu (Kwani uliyemfunua alikuwa wako? Si uliona poa tu?).

Mi nnachoomba ndugu zangu, hasa wanaume wenzangu; Tuoneni huruma hili wimbi wa watoto wenye mzazi mmoja. Mwisho wa siku hii Dunia tunapita tu, hatutakaa miaka mingi. Wazee waliposema kitanda hakizai haramu hawakuwa wajinga.

Kama ulikipanda kitanda tafadhali LEA. Pia ukakutana na mwanamke mzuri ukampenda mwenyewe na ako na mtoto pia LEA, utakuja kubarikiwa huko mbele kwani si kosa la huyo mtoto. Na ukikuta watoto kwenye ndoa usiwatese kwa sababu kama ni kosa ni la huyo uliyempenda.
Naomba kuwasilisha.
Love is not sex and sex is not love.
you can have sex with someone whom u dont love wengi ni njaa tu unagonga na kusepa motokeo ndo kama hayo unayazungumzia
 
Hili suala sio la upande mmoja,ila angalizo lirudi kwa wadada wenyewe.
Mtu huna future nae unakubali kuuza mechi.
Na kingine mna changanya sana wanaume. Kuna mshkaji wangu alisingiziwa mtoto na alistukia akakataa kabisa.
Baada ya muda yule demu kaolewa na mwenye mtoto. Unaona balaa linapoanzia sasa
 
Love is not sex and sex is not love.
you can have sex with someone whom u dont love wengi ni njaa tu unagonga na kusepa motokeo ndo kama hayo unayazungumzia

Yeah, ndo utumie akili ya kutumia Condom mkuu. Unapomwaga ndani ujue mimba ndio matokeo. Ni vizuri ukapambana na consequences za matendo yako
 
wajua mara nyingi imetokea wanaume kubambikiwa....hii inapelekea kuwa na hofu sana,,,,ila sio vema kukataa mtoto,, ni malaika - zawadi kutoka kwa Mungu tuwalee....

Yes, ila ifikie wakati hata kama unafanya sex na watu wengi uchague ukijua matokeo ya unachokifanya. Kubambikiwa pia ni mojawapo wa matatizo yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom