stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,227
- 5,132
Sasa ukibanwa kwa ushahidi wa hiyo kauli yako utautoa? .... mbona sometimes mwajitafutia matatizo bure ....
Wewe Ndio maana post Zako zinaishia kufutwa Huwa Hazina kichwa Wala miguu.
Wanajamvi wenzangu nimejaribu saana kufatilia MEDIAS zetu hizi, kila kona watu hawaishi kuilalamikia serikali yetu na kutoa kila aina ya kashfa kwa Mh, Rais wetu JPM na serikali yake.
Hawajajitambua kila wanapoibeza hii serikali ya awamu ya 5 ndipo wanapozidi kumpa kiki JPM
Jina alishapewa na wazazi wake na kama umaarufu anao na hata ukizidi hausaidii lolote kwenye uongozi wake yeye ni Rais tayari. La msingi hilo jina unalosema anapewa ni baya au zuri?Wanajamvi wenzangu nimejaribu saana kufatilia MEDIAS zetu hizi, kila kona watu hawaishi kuilalamikia serikali yetu na kutoa kila aina ya kashfa kwa Mh, Rais wetu JPM na serikali yake.
Hawajajitambua kila wanapoibeza hii serikali ya awamu ya 5 ndipo wanapozidi kumpa kiki JPM
Wakereketwa wake wangekua wavumilivu km critism zinampa umaarufuWanajamvi wenzangu nimejaribu saana kufatilia MEDIAS zetu hizi, kila kona watu hawaishi kuilalamikia serikali yetu na kutoa kila aina ya kashfa kwa Mh, Rais wetu JPM na serikali yake.
Hawajajitambua kila wanapoibeza hii serikali ya awamu ya 5 ndipo wanapozidi kumpa kiki JPM
Too irrelevant! Hivi mtu akikuelekeza au kukushauri juu ya njia unayopita kuwa haipitiki kakuongezea kick?Wanajamvi wenzangu nimejaribu saana kufatilia MEDIAS zetu hizi, kila kona watu hawaishi kuilalamikia serikali yetu na kutoa kila aina ya kashfa kwa Mh, Rais wetu JPM na serikali yake.
Hawajajitambua kila wanapoibeza hii serikali ya awamu ya 5 ndipo wanapozidi kumpa kiki JPM
Hajielewi huyo..Msamehe tuWewe Ndio maana post Zako zinaishia kufutwa Huwa Hazina kichwa Wala miguu.
Kwa maoni yako tunyamaze afanye madudu yake? Hilo haliwezekani, sina jeshi kama yeye ila nikipata wasaa japo mate nitamtemea.Wanajamvi wenzangu nimejaribu saana kufatilia MEDIAS zetu hizi, kila kona watu hawaishi kuilalamikia serikali yetu na kutoa kila aina ya kashfa kwa Mh, Rais wetu JPM na serikali yake.
Hawajajitambua kila wanapoibeza hii serikali ya awamu ya 5 ndipo wanapozidi kumpa kiki JPM