Kila masika na mbu wake

Kila masika na mbu wake

Kipanga boy

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
1,409
Reaction score
1,231
Waswaili wanasema kila masika na mbu wakee....!!

Wanaume tulianza kusifia shingo kama twiga.. sasaiv shingo ndefu zimebaki zakupigia chaboo...!

Tukaamia miguu kama bia.. sasaiv miguu yako kazurure.. nayo dada, hatuiongelei....

Msimu wa hipsi ukaja wenye bastora wakatambaa..

Hatujakaa vzur umbo namba nane ili hapaa paaap.. tukaimba na nyimbo tukaitupa kulee.. tukahamia mamiss mamodo. Wenye nyama robo...! Wadada wakajikondesha hatari, wanashindia maji na mkate slesi moja! Sisi tumetulia tu....

Mara haaaoh tukaja na miss bantu! Mavitu makubwaa makubwa, maboga! Matembo! Mavitu ya dunia,...... wanawake wakaanza kula kama mapepo wanenepeane!, wakakosa uwiano, mtu ananenepa mpaka ukiangalia kwambaali. Unafikiri kibanda cha M.pesa au school bus! hatukuwaangusha...

Tukaja nachuchu saa sita fastar tukazitema...

Tukaamia American boobs,, makubwaa sidilia zikaja zakubeba ziwa mpaka shingoni..

Bandika bandua hao tukaamia mizigo.,! Neema za allah..!! msambwanda.. vyura...!! Mitete meko.....!

Sasa kama una mzigo.. USIITESE NAFSI mrembo.... Relax af niamin kesho tutaamia kwengine misambwanda itabak na kazi yake yazamani t... yakukalia na kale kashughuli kengine.

tutaamia kwa wenye midomo mikubwaa




NOTE: Wanaume hatunaga tunachopenda kwa mwanamke ila kuna tunachopenda kwa wanawake,

Kipanga kaeleweka wadau

@copy&pest fromogsource
 
HAHAAAAAA KIPANGA KAELEWEKA MKUU

HAHAAAAA SIDIRIA MPAKA INAFIKA WAPI ????

Demiss emmyta
Shunie
hhaaahaaa kipanga anasema bakieni hivyo hivyo mlivyo mwanaume huwa hana anachokipenda kwa mwanamke bali huwa ana anavyo vipenda kwa wanawake
 
hivi wale waobandua mbuzi wanakuwa wamependa nini kwa mbuzi
 
HAHAAAAAA KIPANGA KAELEWEKA MKUU

HAHAAAAA SIDIRIA MPAKA INAFIKA WAPI ????

Demiss emmyta
Shunie
hhaaahaaa kipanga anasema bakieni hivyo hivyo mlivyo mwanaume huwa hana anachokipenda kwa mwanamke bali huwa ana anavyo vipenda kwa wanawake
Hahahaaa. Kweli kabisa Kaka angu wacha tuzidi kujikubali tu kwa namna tulivyo kama alivyosema Kipanga. Teh
 
Ila umeongea kweli kabisa na katika hilo wanaopata athari ni wale wanaoendana na kasi yenu yaani ikifikia kipindi mnapenda kalio ye kaenda kuongeza mkipenda hips naye anaenda kulitafuta. Basi kwake shida tupu.
 
Weee kipanga acha kabisaa twende zetu tukale maperaaaaa

Nakuaminia sana mwanangu leo umenitoa chambooo

Kama mademu wa Njiapanda
 
Mimi vigezo vyangu toka nimebalehe havijawahi badilika ni vile vile vya Sheikh Kipozeo.

Sura sijui matiti tutavumiliana tu lakini kipedo shurti kijae mzigo.
 
Hahahaaa. Kweli kabisa Kaka angu wacha tuzidi kujikubali tu kwa namna tulivyo kama alivyosema Kipanga. Teh
hahaa ukweli huwa nimchungu kuumeza ...ila kwakuwa umekubali kuumeza basiii nakuombea Kheri inshaallah ...maana upo ktika kundi La wanaojithamini wao kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom