Efendi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 302
- 425
Uvccm mkoa wa Dar leo wanapiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Dar natumaini leo atachaguliwa kiongozi mwenye uweledi na uwezo wa kuwaongoza vijana wa CCM wa mkoa huu pia nawatakia kila la kheri wagombea yeyote atakayeshinda aje kusimamia misingi bora ya UVCCM.