Kila kitu digital tanzania 2013

Kila kitu digital tanzania 2013

jamii01

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
1,988
Reaction score
1,437
Mwaka 2013 ibada zitakuwa hv: Mchungaji; Bwana asifiwe! waumini:Ameen! Mchungaji;Tuchukue laptops,iPad,tablets na sim zetu tufungue wakorintho13:13! Pia washeni bluetooth ili mpokee mahubiri.Kwa wanaotumia facebook,twitter&BBM Mnaweza kunifuatilia huko! Baadae wapendwa sasa wakati wa sadaka! Unaweza kumtolea Mungu kwa M-pesa,Airtel Money au Tigo pesa! Mbarikiwe sana! ''Chezea ulimwengu wa digital wewe!!'':israel:
 
pia mahubiri ya leo yatapatikana kwenye mtandao wa yutyubu, na msisahau ku Like fan page yetu ya fb, mnaweza kutufollo kwenye twitA pia
 
Nadhani hata JF inaamia dijitali...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom