Kikwete, usiwakomoe wanaokaribia kustaafu

Kikwete, usiwakomoe wanaokaribia kustaafu

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,344
Reaction score
9,845
Kuna mlolongo wa malalamiko ya wafanyakazi wa serikali na mashirika ya umma waliobakiza muda kidogo wa utendaji kabla ya kustaafu!

Malalamiko hayo ni pamoja na kubadilishiwa wakurugenzi na kuletewa wakurugenzi wanaowanyanyasa na kuwahamishia mikoa ya mbali na familia zao,kwenye huduma duni za huduma za kijamii na gharama kubwa za maisha.

Hii linaonekana kama mbinu ya kuwakarahisha ili waache kazi mapema na hivyo kukosa mafao yao.

Naomba nikumbushe tena,hiki ni kipindi cha uchaguzi,na hawa wanaoonewa na familia zao ni wapiga kura!
 
Kuna mlolongo wa malalamiko ya wafanyakazi wa serikali na mashirika ya umma waliobakiza muda kidogo wa utendaji kabla ya kustaafu!

Malalamiko hayo ni pamoja na kubadilishiwa wakurugenzi na kuletewa wakurugenzi wanaowanyanyasa na kuwahamishia mikoa ya mbali na familia zao,kwenye huduma duni za huduma za kijamii na gharama kubwa za maisha.

Hii linaonekana kama mbinu ya kuwakarahisha ili waache kazi mapema na hivyo kukosa mafao yao.

Naomba nikumbushe tena,hiki ni kipindi cha uchaguzi,na hawa wanaoonewa na familia zao ni wapiga kura!

ePUKA KUWA MCHUMIA TUMBO UNAETUMWA TUMWA NA OVYO KISA MASLAHI YA UKAWA, hayo ulioyaongea hapo hayana ukweli wowote, tafuta mambo ya msingi kijana, unapoteza muda mwingi kuandika uongo kisa eti umetumwa. Lol
 
ePUKA KUWA MCHUMIA TUMBO UNAETUMWA TUMWA NA OVYO KISA MASLAHI YA UKAWA, hayo ulioyaongea hapo hayana ukweli wowote, tafuta mambo ya msingi kijana, unapoteza muda mwingi kuandika uongo kisa eti umetumwa. Lol

Nina mama ambaye ni nesi na anasafiri kwa bodaboda umbali wa km 14 kila siku.Nauli tu anatumia elfu saba kila siku
 
ePUKA KUWA MCHUMIA TUMBO UNAETUMWA TUMWA NA OVYO KISA MASLAHI YA UKAWA, hayo ulioyaongea hapo hayana ukweli wowote, tafuta mambo ya msingi kijana, unapoteza muda mwingi kuandika uongo kisa eti umetumwa. Lol

Acha mapenzi ya kitoto kwa ccm na yasiyo na maana kwa watanzania waliowengi kwa maslahi yako binafsi!

Na nyie mnakuja kuimba mabadiliko wakati mna miaka zaid ya hamsini ya uhuru na hakuna cha maana kinachoonekana kwa mtanzania wa kawaida!

Mabadiliko makubwa kuliko yote kwa mtanzania ni kubadili cha kitakachoongoza serikali,

ccm out(red card) ukawa in kwa mabadiliko!
 
Hicho chama hakitufai Teeeeeenaa. Lowassa Kura yangu
 
Sio uhamisho tu hata uteuzi wa bodi mbalimbali umekwama ili waeendelee kuchota fedha wafanyakazi sasa hivi wa baadhi ya mashirika ya umma wamepigiga kisa msaada kwa ccm
 
analipwa shilingi ngapi huyo nesi wako? nauona uongo humu.

Ndio tia maji tia maji hivyo,tunajichanga kama familia apate nauli mpaka atakapopata kiinua mgongo chake!
 
MIaka yote Wafanyakazi hunyanyaswa kwakwenda mbele... Rais aliwahi kusema kuwa haitaji kura zao ... Nami nasema; TUICO, TFTU, TUKTA kwa umoja wenu hakikisheni Lowassa anaingia IKULU ..
Kuna mlolongo wa malalamiko ya wafanyakazi wa serikali na mashirika ya umma waliobakiza muda kidogo wa utendaji kabla ya kustaafu!

Malalamiko hayo ni pamoja na kubadilishiwa wakurugenzi na kuletewa wakurugenzi wanaowanyanyasa na kuwahamishia mikoa ya mbali na familia zao,kwenye huduma duni za huduma za kijamii na gharama kubwa za maisha.

Hii linaonekana kama mbinu ya kuwakarahisha ili waache kazi mapema na hivyo kukosa mafao yao.

Naomba nikumbushe tena,hiki ni kipindi cha uchaguzi,na hawa wanaoonewa na familia zao ni wapiga kura!
 
Ndio tia maji tia maji hivyo,tunajichanga kama familia apate nauli mpaka atakapopata kiinua mgongo chake!
huo uongo mwengine tena. hivi kunafamilia ya kitanzania ambayo inamchangia mfanyakazi nauli ya kwenda kazini? wakati sio ajabu yeye ndo muajiriwa pekee kwenye hiyo familia na tegemeo lao? nenda kawadanganye wale nyumbu wenzako labda watakuelewa.
 
Hiv nani kakwambia ukiacha kazi ulipwi mafao yako
 
huo uongo mwengine tena. hivi kunafamilia ya kitanzania ambayo inamchangia mfanyakazi nauli ya kwenda kazini? wakati sio ajabu yeye ndo muajiriwa pekee kwenye hiyo familia na tegemeo lao? nenda kawadanganye wale nyumbu wenzako labda watakuelewa.

Nakumbuka nikiwa form two,kuna dogo wa kishua alihamia,kipindi cha kiswahili kilipofika akamuuliza mwalimu njaa ni nini?
Naona mnafanana,pole huijui Tanzania.Au umehamia kipindi hiki cha kampeni nini?
 
Kuna mlolongo wa malalamiko ya wafanyakazi wa serikali na mashirika ya umma waliobakiza muda kidogo wa utendaji kabla ya kustaafu!

Malalamiko hayo ni pamoja na kubadilishiwa wakurugenzi na kuletewa wakurugenzi wanaowanyanyasa na kuwahamishia mikoa ya mbali na familia zao,kwenye huduma duni za huduma za kijamii na gharama kubwa za maisha.

Hii linaonekana kama mbinu ya kuwakarahisha ili waache kazi mapema na hivyo kukosa mafao yao.

Naomba nikumbushe tena,hiki ni kipindi cha uchaguzi,na hawa wanaoonewa na familia zao ni wapiga kura!

Tutatatua matatizo yao ikiwa watatupigia kura ili juing'oa CCM.....
 
Kuna mlolongo wa malalamiko ya wafanyakazi wa serikali na mashirika ya umma waliobakiza muda kidogo wa utendaji kabla ya kustaafu!

Malalamiko hayo ni pamoja na kubadilishiwa wakurugenzi na kuletewa wakurugenzi wanaowanyanyasa na kuwahamishia mikoa ya mbali na familia zao,kwenye huduma duni za huduma za kijamii na gharama kubwa za maisha.

Hii linaonekana kama mbinu ya kuwakarahisha ili waache kazi mapema na hivyo kukosa mafao yao.

Naomba nikumbushe tena,hiki ni kipindi cha uchaguzi,na hawa wanaoonewa na familia zao ni wapiga kura!

Hakuna mwenye hati miliki ya kukaa mjini
 
eti na wewe ni mwanaume! mwanaume gani mbeya. wewe labda tutumie neno la kiingereza kuwa wewe ni male sio man.

Tafsiri ya mbea ni mtu asiyemvumilivu wa wanafiki.

Mbea anaweza kuwa mwanaume au mwanamke.haya nenda kafue pants.
 
Back
Top Bottom