R reandle JF-Expert Member Joined May 6, 2009 Posts 11,166 Reaction score 8,156 Jan 29, 2015 #241 OLESAIDIMU said: EAC haiendi kwa utashi wa waziri ila state yote kwa umoja wake angalia mifano ya nchi zinazotuzunguka marais wanasukuma zaid movements zao!!! Angalia vibrancy na caliber ya wawakilishi wao!!! Tusizunguke mbuyu!!! Click to expand... Unaona sasa!! Kwahiyo EAC ndo haiendi kwa utashi wa waziri lakini Uchukuzi ndo inaenda kwa utshi wa waziri (Mwakyembe)? What are you trying to say?
OLESAIDIMU said: EAC haiendi kwa utashi wa waziri ila state yote kwa umoja wake angalia mifano ya nchi zinazotuzunguka marais wanasukuma zaid movements zao!!! Angalia vibrancy na caliber ya wawakilishi wao!!! Tusizunguke mbuyu!!! Click to expand... Unaona sasa!! Kwahiyo EAC ndo haiendi kwa utashi wa waziri lakini Uchukuzi ndo inaenda kwa utshi wa waziri (Mwakyembe)? What are you trying to say?