mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,469
Kuna tetesi nazisikiaga kuwa kikwete na membe ni ndugu wa kuzaliwa baba mmoja mama tofauti
Sasa lowasa alishiriki kumwiingiza kikwete madarakani, na membe kaonjeshwa uwaziri wa mambo ya nje anakitaka na kiti cha ndugu yake
sasa membe ni ndugu hawezi msaliti wala kulipa kisasi wala kutafuta maovu yake ya huko nyuma kama akipewa hicho kijiti, na lowasa kila mtu anajua alimsaidia kumweeka jk madarakani sasa kikwete yuko njia panda anamoofia lowasa, anatamani ndugu yake apate hicho kiti Ili awe salama
Sasa lowasa alishiriki kumwiingiza kikwete madarakani, na membe kaonjeshwa uwaziri wa mambo ya nje anakitaka na kiti cha ndugu yake
sasa membe ni ndugu hawezi msaliti wala kulipa kisasi wala kutafuta maovu yake ya huko nyuma kama akipewa hicho kijiti, na lowasa kila mtu anajua alimsaidia kumweeka jk madarakani sasa kikwete yuko njia panda anamoofia lowasa, anatamani ndugu yake apate hicho kiti Ili awe salama