Mbona nimekaba Clouds tangu moja na dk 21 nasikia muziki tu, kaingia mitini?:bowl:
Ama wanamalizia ku-print majibu ili aje kuyasoma? Ama wanamalizia kuwapatia mapandikizi maswali ya kuuliza?
Kaaaazi kweli kweli.....! Ama huu muziki ndio anachosema???????????? Ama amedondoka tena????????????