Inasikitisha pale rais wetu mpenda jk anapozdi kuwakumbatia na kuwapa nyazifa viongoz waliomwagwa na kukataliwa na wana nch katika mchakato wa uchaguz 2010.
Mfano Kamala aliyekua mbungd wa nkenge, malmo.
Kwani hakuna wa2 wengine wanaoweza kukaim nafasi hyo?