mbube
Member
- Feb 21, 2015
- 26
- 9
Niwatonye
rais anatarajiwa kuhudhuria moja ya mikutano mikubwa kabisa ya ukawa hivi karibuni. Rais Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa Chama Tawala CCM, lakini pia kwa kofia nyingine ni rais wa Watanzania wote pasipo kubagua Chama Chochote.
Mipango inakamilika na hivi karibuni rais atahudhuria Mkutano mkubwa wa Ukawa pamoja na Vyama vingine vya upinzani kama barua zao za mialiko zitavyo onyesha.
msemaji wa Ikulu amethibitisha kwamba milango ya mialiko iko wazi, kama CCM huwa wanamwalika hawezi kusita kuhudhuria mikutano mingine maana yeye ni mlezi wa Vyama vyote. "msilalamike kwanini raisi anahudhuria mikutano ya CCM, kaalikwa, kwani nyie mmeleta mwaliko wowote mkakataliwa?" alisema msemaji huyo.
alamsik
rais anatarajiwa kuhudhuria moja ya mikutano mikubwa kabisa ya ukawa hivi karibuni. Rais Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa Chama Tawala CCM, lakini pia kwa kofia nyingine ni rais wa Watanzania wote pasipo kubagua Chama Chochote.
Mipango inakamilika na hivi karibuni rais atahudhuria Mkutano mkubwa wa Ukawa pamoja na Vyama vingine vya upinzani kama barua zao za mialiko zitavyo onyesha.
msemaji wa Ikulu amethibitisha kwamba milango ya mialiko iko wazi, kama CCM huwa wanamwalika hawezi kusita kuhudhuria mikutano mingine maana yeye ni mlezi wa Vyama vyote. "msilalamike kwanini raisi anahudhuria mikutano ya CCM, kaalikwa, kwani nyie mmeleta mwaliko wowote mkakataliwa?" alisema msemaji huyo.
alamsik