Binafsi nimeshitushwa sana rais kuanza kutaja taja neno DAMU tena mbele ya hadhara asifikiri Somalia na kwingineko wanakouana wanapenda kitu hicho. Nilitegemea atakemea wanaosambaza badala yake anakemea watu wengine wasiohusika. Namtahadharisha kuwa endapo DAMU DAMU DAMU itagika hata kama imeanzishwa na mtu mwingine provided yeye anao uwezo wa kuizuia kama rais itamulilia hadi anakwenda kaburini.mama yangu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.maneno haya yametoka mdomoni mwake kweli?Yaani jamani afadhali mungu akunyime utajiri akupe akili...Wapi palipohubiriwa umwagaji wa damu?kweli kikwete umeishiwa ,khaaa this is very low for you...wewe si ndo unatuma majeshi yatishe watu wewe,synovate na REDET na tafiti zao za makengeza..mbona una hofu sana mwanakwetu...kaa utulie kushindwa ni kawaida TZ ya leo sio ya 2005....wewe watu hawakupendi na hawakutaki kwa kuwa serikali yako longolongo au nalo hulielewi
Kikwete kanasa kwenye uchafu wa damu ambao kujisafisha kwake kunahitaji damu, amuulize Charles Taylor wa Liberia, ukianza kuongelea mambo ya damu lazima unawe damu na ukishanawa damu utaendelea kunuka damu na Tanzania hatuko mbali na huko.huyu huwa hawezagi kuchuja mambo..yaani hapa ndo ninapomkumbukaga mkapa mimi
Kikwete kuanza kuzungumzia maneno ya uchochezi ya kumwaga damu siku moja baada ya kusambazwa inaashiria kitu gani? Lini kafanya uchunguzi na kujiridhisha kuwa si maneno ya kubuni. Je tukisema anahusika na kuyaandaa ili aje kuyatumia kisiasa tutakuwa tunamwonea?
Inaonyesha amemaliza ahadi zote na kuanza kujiingiza kwenye siasa za maji taka kama katibu wake Mkuu. Ndugu wana jamvi mimi nina wasiwasi na Kikwete kuwa ni mmojawapo wa walioandaa maneno hayo kwa jinsi alivyoyachukulia upesi upesi na kuanza kuyatumia majukwaani.
Hata mimi nimesikia amezungumzia hilo kwenye kampeni zake huko Songea.
Jamaa ana matatizo kweli.
Hivi mtu kama huyo utamtofautishaje na watu wa taarabu? Akisikia umbea anaugeuza kuwa kweli na kuuhubiri.
Au anaangalia na hadhira wanaomsikiliza?
Hebu akaseme maneno hayo Mbeya, Moshi au hata Iringa kama hajapigwa mawe.
Kikwete kuanza kuzungumzia maneno ya uchochezi ya kumwaga damu siku moja baada ya kusambazwa inaashiria kitu gani? Lini kafanya uchunguzi na kujiridhisha kuwa si maneno ya kubuni. Je tukisema anahusika na kuyaandaa ili aje kuyatumia kisiasa tutakuwa tunamwonea?
Inaonyesha amemaliza ahadi zote na kuanza kujiingiza kwenye siasa za maji taka kama katibu wake Mkuu. Ndugu wana jamvi mimi nina wasiwasi na Kikwete kuwa ni mmojawapo wa walioandaa maneno hayo kwa jinsi alivyoyachukulia upesi upesi na kuanza kuyatumia majukwaani.
akihutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa majimaji mjini songea jana, jumapili, oktoba 10, 2010, rais kikwete amewasuta wanasiasa ambao wamekuwa wanatishia umwagaji wa damu nchi kama hawakufanikiwa kushika nafasi za uongozi wanazozitaka.
sisi ni ccm. Sisi ni chama kisichohubiri umwagaji damu. Sisi ni chama cha amani. Umwagaji damu hauna maslahi yoyote na wala tija kwa yoyote isipokuwa kwa wanasiasa wanaotaka kutumia maiti za watu kama ngazi ya kuingilia ikulu, amesema rais kikwete na kuongeza:
hawa siyo watu. Hawana maana yoyote. Achaneni nao watu wa namna hii wanaotaka kupata madaraka kwa ngazi ya maiti za wananchi wasiokuwa na hatia.
amesisitiza rais kikwete: wanachochea watu wamwage damu na wao wapande ndege kwenda zao ulaya na kuwaachia nyie mkitoana damu.
my take: Haya ni maneno mazito kutamkwa na kiongozi hasa rais wa nchi. Kikwete kama rais alitakiwa akemee message hizo na wanaozisambaza kwa kuwa zinachonganisha watu badala yake yeye bila kufanya utafiti kama yaliyotamkwa ni ya kweli au la anaanza kuzitumia kama mtaji wa kisiasa. inawezekana anajua zinakotoka.
Originally Posted by Zed
Nani anasema CCM Mgombea Urasi wa CCM hana mkono katika hizi meseji.... Ushahidi wa kimazingira huu hapa: Uki-fatilia domain 6telecoms.co.tz, iliyotumika utaona wazi share the name IP ya Kikwete2010co.tz na JK web site yake na nyingine za mafisadi wa papa ziko hosted nao.
Angalia maandishi mekundu!
"
Kikwete2010.co.tz is a domain controlled by two name servers at co.tz. Both are on different IP networks. The name server kikwete2010.co.tz stated in SOA record is not in the list of name servers. Incoming mail for kikwete2010.co.tz is handled by two mail servers also at co.tz. Both are on different IP networks. kikwete2010.co.tz has one IP number (41.77.226.253).
212.233.84.in-addr.arpa, 229.77.41.in-addr.arpa, 228.77.41.in-addr.arpa and 227.77.41.in-addr.arpa share name servers with this domain. 6telecoms.co.tz share mail servers with this domain.