Elections 2010 Kikwete kavutwa naye amevutika

Binafsi nimeshitushwa sana rais kuanza kutaja taja neno DAMU tena mbele ya hadhara asifikiri Somalia na kwingineko wanakouana wanapenda kitu hicho. Nilitegemea atakemea wanaosambaza badala yake anakemea watu wengine wasiohusika. Namtahadharisha kuwa endapo DAMU DAMU DAMU itagika hata kama imeanzishwa na mtu mwingine provided yeye anao uwezo wa kuizuia kama rais itamulilia hadi anakwenda kaburini.
 
Kumbe ndiyo maana yule wa majeshi alikuwa na ubavu wa kusema yale........ulimi huu utatuponza na kwa kweli utatuponza...
 
Kikwete ameanza kuchanganyikiwa chochote atakachokiokota anafikiri kitamsaidia mfa maji hata akiona jani linaelea atafikiri gogo, haya maneno si mazuri kinywani mwa kiongozi kama yeye asifikiri atayakwepa.
 
huyu huwa hawezagi kuchuja mambo..yaani hapa ndo ninapomkumbukaga mkapa mimi
 
huyu huwa hawezagi kuchuja mambo..yaani hapa ndo ninapomkumbukaga mkapa mimi
Kikwete kanasa kwenye uchafu wa damu ambao kujisafisha kwake kunahitaji damu, amuulize Charles Taylor wa Liberia, ukianza kuongelea mambo ya damu lazima unawe damu na ukishanawa damu utaendelea kunuka damu na Tanzania hatuko mbali na huko.
 
nasema hivi huko tunakoelekea tunahitaji kuwapima akili wagombea wetu wanafasi ya juu hizi katika Taifa, maana afya ya akili ya mgombea wa ccm inanitia shaka, sijui kama hii shaka naipata peke yangu, namuona kama anamapungufu fulani.
Bado nawaza sana juu ya afya yake ya akili, simuelewi mgombea Urais wa ccm, maana maneno yake hayawiani na umri na uzoefu wake katika siasa.
 

The problem with political jokes is that they get elected.
 
Kikwete ni kumuonea huruma kwa kweli manake mpaka sasa maji yamemfika shingoni, mwache tu atapetape!
 
Sishangai maneno ya JK. Nimewasikia makada wa CCM wakiongea hayo hayo mara nyingi hasa wakati huu wa kampeni. Siasa za kudanganya, uchonganishi na vitisho ndio msingi wa ushindi wa CCM. JK ni sehemu yao anaongoza genge hilo na kamwe hawezi kukemea chochote.
At last kati ya wale vijana 630 waliofunzwa kusigina demokrasia ya Tanzania nimekutana na wawili. Hakuna ubishi wamepanga kunyonga demokrasia
 

Hii inaonyesha yeye ndo aliyoianzisha kwahiyo anachofanya ni kuiboost tu basi
 

JAMANI EEEH The purpose of getting power is to be able to give it away.
 
The end is nigh and JK shall indeed go we are going to free at last! The date is October 31, 2010. Now less than twenty days. The end is nigh!

Go Slaa Go. Tuko pamoja Doc, all the way, come what may!
 

kwani kikwete huwa anfanya utafiti wa mambo anayoongea huyu jamaa raisi wetu ni incompetent jamani mwacheni hajui hata kwa nini anaongea hivyo na sijui kwa nini watanzania walimpa 80% huyu mwaka 2005, shame upon him.
 

Thanks Zed

Toka mwanzo mimi nilikuwa na wasiwasi na Kikwete kwamba was behind or aware of what was happening, maana haiingii akilini kiongozi mkuu tena rais kuanza kutumia ujumbe hatari wa email kwenye kampeni zake siku moja tu baada ya kusambazwa bila hata kujiridhisha kama ni wa kweli ama la.

Nafikiri JK anaelewa fika mbinu chafu kama hizi ndizo zilizotumiwa na viongozi wa Rwanda kuwachonganisha wahutu na watusi wamalizane ili wao waendelee kutawala, shame on him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…