Duh! Hata mimi nimejisikia aibu ghafla!! Kumbe wakoloni walikuwa watu poa sana? Nadhani Mwalimu nyerere anajisikia aibu kuliko mimi na wewe huko aliko! Au labda alisema tu hivyo ili hao former colonist wasimfukuze huko kwao!
Si unajua anavyopenda kubembea kwenye bembea zao?au ni zile suti? All in all president ana sababu milioni za kuwasifu wakoloni, mimi, wewe na Nyerere hatuna macho ya kuona mazuri ya wakoloni hawa, kikwete ni profesa, unakumbuka hilo?