Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Mie amenigalagaza pale aliposema hata marais waliomtangulia walishindwa kutatua matatizo ya nchi sembuse yeye! Yaani huyu mjamaa aliomba urais ili akae tu ikulu, kutembea juu ya red carpet na kutanua majuu? Alitaka urais akijua kuwa ni rais wa kushindwa tu?
Hata hivyo sishangai sana na kauli hiyo kwa sababu katika ule mdahalo wake TBC1 na na waandishi wa habari siku mbili kabla ya uchaguzi alisita sana kujibu swali alilolulizwa: "Unataka Watz wakukumbuke kwa kitu gani ukimaliza urais?" Baada ya muda akajibu: "Nataka Watz wanikumbuke kwamba niliwatoa hapa na kuwafikisha pale."
Yaani alitutoa kwenye bei ya sukari ya Sh 500 kwa kilo hadi sasa karibu 2,000/- na kaimaliza kabisa muda wake 2015 itakuwa 4,000/- kwa rate hii!
Alitutoa kwenye bei ya bati 5,000/- had sasa 15,000/-, cementi 6,000/- hadi 13,000/-!
Hata hivyo sishangai sana na kauli hiyo kwa sababu katika ule mdahalo wake TBC1 na na waandishi wa habari siku mbili kabla ya uchaguzi alisita sana kujibu swali alilolulizwa: "Unataka Watz wakukumbuke kwa kitu gani ukimaliza urais?" Baada ya muda akajibu: "Nataka Watz wanikumbuke kwamba niliwatoa hapa na kuwafikisha pale."
Yaani alitutoa kwenye bei ya sukari ya Sh 500 kwa kilo hadi sasa karibu 2,000/- na kaimaliza kabisa muda wake 2015 itakuwa 4,000/- kwa rate hii!
Alitutoa kwenye bei ya bati 5,000/- had sasa 15,000/-, cementi 6,000/- hadi 13,000/-!