Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Kwani u never knew kuwa kila kitu kihusucho DOWANS ni fake?? so possible maana he'z one of thoz so called Wamiliki
:rain::rain::rain:
Kwa mdadisi yeyote ziara ya anayejihita mmiliki wa Dowans Brig.Gen.Al Adawi inazua maswali mengi kuliko majibu; kwanza kwanini hakutaka kupigwa picha?
Pili katika hali ya kawaida R.A kama mwakilishi wake ndiye mwenyeji wake, hivyo alitakiwa awepo katika mkutano wake na wahandishi wa habari kwaajili ya kumtambulisha, inaonekana hilo halikufanyika.
Tatu ameingia tu na mtambo mmoja wa Dowans ukawashwa. Haiwezekanikuwashwa huko kwa mtambo huo ukatokana na mashauriano ya siku moja.
Inavyoelekea mipango yote tayari ilikwisha andaliwa, haya yanayotendeka sasa ni kiini macho, ndiyo maana kuna tetesi ya kwamba hata huyo anayejihita Brig. Gen. Al-Adawi uenda hasiwe mwenyewe bali kivuli chake.
Mchoro wote umeshachorwa....kingine cha kushangaza ni kwamba tuliambiwa Dowans ina wamiliki sita. Wazungu wawili toka Canada, Muhindi wa kutoka India, Mkenya, Mkorea na huyo Al Adawi, lakini amejitambulisha kama yeye ni mmiliki pekee wa Dowans. Haijulikani hao wengine kama si wamiliki tena wa hiyo kampuni au ni kipi kilichojiri mpaka huyo Al Adawi asiwataje wamiliki wenzie.
Me wala huya Al nani cjui hajanichosha kama hawa wahariri wetu..!! Mtu aitishe press conference afu agome kupigwa picha na wao bado wanaendelea kumsikiliza...!! Au alikua anagawa hela nini kiukweli me sipati picha hapa..!! Na kama ye ni mmiliki halali why agome kupigwa picha?? IM SURE HATA OSAMA AKIJA BONGO HAWEZI KATAA KUPIGWA PICHA WHY THIS FASHIST AGOME?? :blah:
Mkuu BAK, yaani hapa ni mazingaombwe tu yanaendelea... hivi ina maana wale wengine wa5 ndo washamuuzia kila kitu huyu generali fake!!!! :A S 13::A S 13: