Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Sijasikia salamu za rambirambi za JK kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe (CCM) Ndugu John Mwankenja. Taarifa ni kwamba huyu Mwankenja ameuliwa jina usiku wakati Sheikh kafariki leo asubuhi. Ni formula gani inatumika kutoa salamu za rambirambi? walio karibu na JK waangalie hili, not a good impression kwa rais. Hata akitoa salamu hizo sasa hivi ukweli ni kwamba inakuwaje amerukia msiba wa asubuhi akaacha wa jana usiku, huku marehemu wote walikuwa kwenye group moja i.e ccm? Je kwakuwa yahaya alikuwa mlinzi kivuli wake?