Kumbuka, huko unakopataja kote nend kaone maendeleo, Bagamoyo, kwa mfano leo kuna chuo kikuu, kuna viwanda vikubwa sana, kuna kiwanda cha chuma kinajengwa (nadhani umekiona kama unapita njia hizo) Kikubwa katika Afrika Mashariki.
Wewe ulie mjini, unaweza mpaka kuwa na muda wa kuja kubishana JF, kama siyo neema hiyo ni nini?
Hakuna kimoja mmeweza kukitaja ambacho Kikwete hajafanya zaidi ya Rais mwingine wa Tanzania. Nnawaambia hamna, mtabaki porojo za kubuni tu.