Kikwete amekwama mara 7

wewe mwenyewe ni TISS kwa ajili ya ulinzi wa nchi yako ukisubiri TISS walioajiriwa rasmi kuna siku utajuta pale utakapokuwa umeuzwa kwa senti tano. Ulinzi wa nchi ni wa kila mmoja wetu.

hii ya kufungulia mwaka!
 
wandugu,hakuna kitu kibaya duniani kama NJAAAAAAAAAAA.
Huyu mwenye thred amezidiwa na njaa ameamua kuuza utu wake na hivyo ameleta hisia na chuki za mabwana zake hapa jamvini.
hii tabia ni sawa na simba mwenye njaa,ambaye huwa hachagui chakula,chochote kinachojitokeza mbele,hata mwanae,yeye anatia mdomoni.sasa huyu jamaa yeye anaropoka tuuuuuuuuuuu ilimradi amesema na amemridhisha na kumfurahisha BOSS WAKE.
Lakini sishangai kwa sababu hata YESU NA MUHAMMAD pamoja na mitume wengine waliokuwa wasafi na walihubiri neno la mungu nao walipingwa, sasa kwanini kikwete akose wabaya na wenye husuda wakati waliokosa nafasi pale magogoni 'WALIOTOSWA' bado wanaishi na wanatamani wangekuwa pale.tuache upotoshaji usio na maana.
 
kushuka kwa sarafu ya tanzania dhidi ya dola ni tatizo la kidunia,fanya utafiti kidogo ktk nchi 5 duniani kama hujaaibika,utakuta sisi tuna nafuu kubwa.hutakiwi kuwa mlalamikaji,unatakiwa ku provide slution for problems bro,mbona una tuangusha/great thinker gani ww?
 
Nawaonea huruma wanao......
 
Aibu!
Kuna mtu aliuliza swali hivi hakuna watu wa TISS wanaoitakia mema nchi hii?

Kwahiyo ndo tufanyeje cye wananchi unapopoteza muda kubuni hadithi za hekaya kama hizi unatunga na hadithi nyingine ya kufurahisha juu ya nini cha kufanya paka shume weee!!!
 
mimi sioni unalolilalamikia hapa kwani CCM ipo na nguvu zake, serikali ipo na inaendelea kuongoza. Staili ya kuongoza ya JK inatofautiana na ya wengine na unaweza kuwa huipendi.

JK hagombei tena hivyo ni vyema tuzungumzie wagombea watarajiwa kama wenzetu wa USA wanavyofanya kwa uhuru otherwise kujadili topic hii ni kupoteza muda
 
give us source of your story:
give us theme
give solution:
 
Nawaonea huruma sana wana CCM!Wanashabikia hata upuuzi alimradi watetee chama!
Wana maisha magumu lakini wako tayari kuuza "vitumbua vyao" kwa kinamama na hata "tigo zao" kwa kinababa ili tu wapate nguvu kidogo za kuendelea kutetea maovu kwenye hii nchi!
Ole wao,maana baada ya siku si nyingi "vitumbua" vitalegea na "tigo" zitapoteza network!Tazama,siku hizo watalia na kusaga meno!
 

Naomba soma nilichoandika vizuri, nakubali maendeleo yako huko mpaka hata kule kwetu, nilichouliza hiyo tuzo tuliyopewa ina faida gani kwa wtu hao? ama unataka kusema iliambatana na pesa ndizo zimejenga hayo uliyoyataja? Ningekubali tu kutaja maendeleo lakini hiyo tuzo haina maana yoyote kwetu, ama unataka kusema hata leo hii akitunukiwa nishani ya shujaa mstahiki kwetu ni faida? Na nimekwambia mpaka sasa hajaitangaaza Chalinze kuwa Wilaya, ama tusubiri mpaka 2014? Kumbuka wenzake walifanya kwao, unasemaje hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…