trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
wewe mwenyewe ni TISS kwa ajili ya ulinzi wa nchi yako ukisubiri TISS walioajiriwa rasmi kuna siku utajuta pale utakapokuwa umeuzwa kwa senti tano. Ulinzi wa nchi ni wa kila mmoja wetu.
Nawaonea huruma wanao......memwaga pumba bila ushahidi wowote, ngoja nikupe ushahidi kuwa Kikwete Rais, bora.
Tanzania kwa mara ya kwanza kabisa imepata tuzo ya Utawala bora kutoka Umoja wa Mataifa, ulishasikia tuzo kama hiyo kabla ya Kikwete?
Halafu kwa mara ya kwanza Tanzania imepanda chart ya Kuishi, kama afya haijaimarika tu genpa kutoka kuishi miaka 50 mpaka kufikikia 56 kwa kipindi kifupi cha Kikwete? jiulize.
Mengine yote uliyoandika ni pumba tupu. Nioneshe moja tu ambalo Kikwete hajafanya zaidi ya Rais mwingine wowote wa Tanzania. Nnakuhakikishia hauna.
Aibu!
Kuna mtu aliuliza swali hivi hakuna watu wa TISS wanaoitakia mema nchi hii?
umelipwa shilingi ngapi kwa andishi hilo kama hujalipwa basi utakuwa ni mwana mtandao majeruhi.
Kumbuka, huko unakopataja kote nend kaone maendeleo, Bagamoyo, kwa mfano leo kuna chuo kikuu, kuna viwanda vikubwa sana, kuna kiwanda cha chuma kinajengwa (nadhani umekiona kama unapita njia hizo) Kikubwa katika Afrika Mashariki.
Wewe ulie mjini, unaweza mpaka kuwa na muda wa kuja kubishana JF, kama siyo neema hiyo ni nini?
Hakuna kimoja mmeweza kukitaja ambacho Kikwete hajafanya zaidi ya Rais mwingine wa Tanzania. Nnawaambia hamna, mtabaki porojo za kubuni tu.