memwaga pumba bila ushahidi wowote, ngoja nikupe ushahidi kuwa Kikwete Rais, bora.
Tanzania kwa mara ya kwanza kabisa imepata tuzo ya Utawala bora kutoka Umoja wa Mataifa, ulishasikia tuzo kama hiyo kabla ya Kikwete?
Halafu kwa mara ya kwanza Tanzania imepanda chart ya Kuishi, kama afya haijaimarika tu genpa kutoka kuishi miaka 50 mpaka kufikikia 56 kwa kipindi kifupi cha Kikwete? jiulize.
Mengine yote uliyoandika ni pumba tupu. Nioneshe moja tu ambalo Kikwete hajafanya zaidi ya Rais mwingine wowote wa Tanzania. Nnakuhakikishia hauna.