Kikwete aliyafanya maisha ya watu kua bora, watu waliishi kwa furaha. Leo tunaambiwa tunyooshwe tutafurahia akiondoka?

Pamoja na kua JK alikua na madhaifu yake lakini huyu baba alibadili maisha ya watu, aliwafanya watu waishi kwa raha, aliwafanya watu wawe na amani ndani ya nchi zao. Watu hawakubaguana kwa itikadi zao za vyama tofauti na hivi sasa.JK aliwafanya wafanyakazi waishi kwa raha, aliyekua na elimu aliifurahia elimu yake, kila mtu alipata kutokana na upambanaji wake tofauti na hivi sasa ambapo tunakazimishwa tuishi sawa kitu ambacho hakiwezekani.

Hivi sasa watu wanalazimishwa waishi kama mashetani, wanaambiwa wanyooshwe ili utawala huu ukiondoka waishi kwa raha,hii inamaanisha mateso haya ni kama ya makusudi. Unakubali vipi binadmu wenzio wateseke? Unakubali vipi wenzio waumie kama wewe ni binadamu pia? Hii sio sawa na wala haikubaliki hata mbinguni.

Enzi za JK watumishi walipandishiwa mishahara, kila mtu alivuna kwa uwezo wake,wafanyabiashara walifurahia biashara zao,wanasiasa walifurahia siasa zao,bidhaa za ujenzi ziliuzwa nafuu kabisa na kila mwananchi aliyejiweza alijenga nyumba yake lakini hivi sasa ni wachache sana wanaojenda hasa watumishi wa uma.

Tuoneane huruma,sote tu wanadam. Huwezi kufurahia wakati mwenzako wa damu anaumia hata Mungu hapendi.

Acha propaganda zako, wakati wa kikwete unga cocain ilikuwa kama pipi mitaani wauzaji unga walikuwa wanajulikana na ni watemi akikutia ndani kukutoa labda mungu tu watoto wetu wameharibika sana wakati wa jakaya mtanzania ukisafiri nje ya nchi unasachiwa sana kwa sababu tulionekana sisi ni makao makuu ya kusambaza cocain wafanya biashara waliiba sana walitajirika sana kwa mali ya wizi bandarini ilikuwa mfanya biashara anapitisha container anazotaka bila kulipa ushuru watu walikuwa na pesa za kuiba zilisaambaa mpaka mitaani kawaulize shopping centre wafalme wa kipiga dili kina manji mo na wengi wafanyakazi ofisini wakurugenzi wameiba sana pesa za mashirika ya umma dadazetu wamehongwa magari nyumba pesa zilikuwa mpaka vichochoroni kina wema walikuwa wakienda kumtuza mtu wanaenda na mamilioni ya elfu kumikumi anaenda mbele anatoa mojamoja mpaka chini zina jaa zingine zina ruka na upepo; leo heshima ipo sana adabu kila kona maofisini hospitalini kila mtu anakula halali mungu alivyotaka watemi wamepungua matusi mitaani imepungua katika awamu zote huyu john pombe kawafunika wote atakuwa juuujuuujuu mawinguni
 
Hali ni tete! Sio wote wanaolalamika walikua wapiga dili la hasha kiukweli mirija iliyozibwa mingine haikustahili kabisa kwanza No Increment, No kupanda madaraja % ya bodi toka 8 hadi 15 hakuna changes ya salary ni mateso makubwa sana yani Machozi Jasho na Damu! Binafsi toka nimeajiriwa 2011 mpaka leo nipo na D yangu na maisha yanabadilika ulkua mwenyewe sasa upo na mwenzako mlikua hamna watoto sasa mna watoto Serikali hii iwe na huruma na Wananchi wake
 
Ukiwa mchafu ukaambiwa kuanzia leo lazima ufagie na kuosha viombo na kupalilia lazima ulalamike na kutoa visingizio vingi
Haya ni mapya kwa watu wengi lakini watazoea tu
Wanyooshe baba na ukimaliza term nyingine akawe Rais wa Znz na huko akapanyooshe.
Yaani ingekuwa inawezekana hahaha

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Pamoja na kua JK alikua na madhaifu yake lakini huyu baba alibadili maisha ya watu, aliwafanya watu waishi kwa raha, aliwafanya watu wawe na amani ndani ya nchi zao. Watu hawakubaguana kwa itikadi zao za vyama tofauti na hivi sasa.JK aliwafanya wafanyakazi waishi kwa raha, aliyekua na elimu aliifurahia elimu yake, kila mtu alipata kutokana na upambanaji wake tofauti na hivi sasa ambapo tunakazimishwa tuishi sawa kitu ambacho hakiwezekani.

Hivi sasa watu wanalazimishwa waishi kama mashetani, wanaambiwa wanyooshwe ili utawala huu ukiondoka waishi kwa raha,hii inamaanisha mateso haya ni kama ya makusudi. Unakubali vipi binadmu wenzio wateseke? Unakubali vipi wenzio waumie kama wewe ni binadamu pia? Hii sio sawa na wala haikubaliki hata mbinguni.

Enzi za JK watumishi walipandishiwa mishahara, kila mtu alivuna kwa uwezo wake,wafanyabiashara walifurahia biashara zao,wanasiasa walifurahia siasa zao,bidhaa za ujenzi ziliuzwa nafuu kabisa na kila mwananchi aliyejiweza alijenga nyumba yake lakini hivi sasa ni wachache sana wanaojenda hasa watumishi wa uma.

Tuoneane huruma,sote tu wanadam. Huwezi kufurahia wakati mwenzako wa damu anaumia hata Mungu hapendi.

Hama nchi
 
Pamoja na kua JK alikua na madhaifu yake lakini huyu baba alibadili maisha ya watu, aliwafanya watu waishi kwa raha, aliwafanya watu wawe na amani ndani ya nchi zao. Watu hawakubaguana kwa itikadi zao za vyama tofauti na hivi sasa.JK aliwafanya wafanyakazi waishi kwa raha, aliyekua na elimu aliifurahia elimu yake, kila mtu alipata kutokana na upambanaji wake tofauti na hivi sasa ambapo tunakazimishwa tuishi sawa kitu ambacho hakiwezekani.

Hivi sasa watu wanalazimishwa waishi kama mashetani, wanaambiwa wanyooshwe ili utawala huu ukiondoka waishi kwa raha,hii inamaanisha mateso haya ni kama ya makusudi. Unakubali vipi binadmu wenzio wateseke? Unakubali vipi wenzio waumie kama wewe ni binadamu pia? Hii sio sawa na wala haikubaliki hata mbinguni.

Enzi za JK watumishi walipandishiwa mishahara, kila mtu alivuna kwa uwezo wake,wafanyabiashara walifurahia biashara zao,wanasiasa walifurahia siasa zao,bidhaa za ujenzi ziliuzwa nafuu kabisa na kila mwananchi aliyejiweza alijenga nyumba yake lakini hivi sasa ni wachache sana wanaojenda hasa watumishi wa uma.

Tuoneane huruma,sote tu wanadam. Huwezi kufurahia wakati mwenzako wa damu anaumia hata Mungu hapendi.
Para ya kwanza tu inaonyesha huna reference, uzi wa kimajungu kama Juma lokole.
 
Back
Top Bottom