Kikwete aingia mtaani

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,176
Reaction score
162,639
Raisi mstaafu,Jakaya Mrisho Kikwete,jana aliingia mtaani na kufanya shopping Mliman City.

======================

Chanzo: Mtanzania
 

Attachments

  • k.jpg
    28.8 KB · Views: 9,510
aaah asijisahau sana maana PK lile biti lake bado hatujamwelewa alikuwa na maana gani na ujasiri gani kumpiga biti raisi wa nchi kubwa kama TZ na hali yy ka nchi kake kadogo

Raisi mstaafu,Jakaya Mrisho Kikwete,jana aliingia mtaani na kufanya shopping Mliman City.

Chanzo:Magazetini leo
 
Haa haaa Vasco anakumbukia safari za Nje kaamua kuziamishia nyumbani.
 
Mbona ghafla, kutoka shopping za Mississippi,Michigan,London,Dubai na Shanghai mpaka mlimani city? Duh, hapo ni wiki mbili tu, naona mwezi mtukufu tutakutana pale Tandale kusaka futali!
Nilivyosikia hii habari nikajikuta naishia kucheka kimoyomoyo tu.
 
Acha aingie maana tetezi ni kwamba analipwa 80% ya Tshs.400m , sasa kutoka msoga kwa ndege kuja kufanya shopping na kurudi kawaida sana.
 
Nafikiri amemaliza muda wake, tumemlaumu sana sasa yuko Uraiani
tumuache apumzike, maana kupumzika ni pamoja na kuachana na lawama
nzito za kiuongozi ambazo zilimuelemea
 
Ngoja tuone kwanza mgogoro wa zanzibari utakavyoisha ndiyo tujue kama kweli anapumzika kwa amani
 
Haa haaa Vasco anakumbukia safari za Nje kaamua kuziamishia nyumbani.

Hivi na hilo biti la safari za nje nalo linamuhusu.....?......maana sielewi kinachoendelea mpaka sasa.........
 
Hakuna kwenda nje ya nchi, na yeye inamuhusu.
 
Mbona ghafla, kutoka shopping za Mississippi,Michigan,London,Dubai na Shanghai mpaka mlimani city? Duh, hapo ni wiki mbili tu, naona mwezi mtukufu tutakutana pale Tandale kusaka futali!

hahahaa! Jf bhana raha sana
 
Lowassa makufuru kutembea mitaani na kwenda Kariakoo.na kupanda daladala.Double standards.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…