Mbowe akitaka kugombea hahitaji hata hizo milioni 50 zenu hazitoshi hata mafuta ya helkopta halafu yale mawazo ya pesa pesa mbele ndiyo yanayokimaliza chama chenu akili yote iko kwenye pesa tu mko tayari hata kuuza nchi midenda ya kina RA EL na wapambe wake wanafikiri pesa ni msingi wa maendeleo jamani imewaingia hata watetezi wao humu sema ukweli usipolipwa mwezi huu utaendelea kuwatetea tuambiane ukweli