sijaona sababu kubwa ya huyu mdengereko kurudi madarakani aliahidi ajira millioni moja kwa vijana sidhani kama hata nusu kafikia labda kama atajumlisha na wale matapeli wanaoiba benki na kuteka magari kule Kasindaga Biharamulo. Tatizo kubwa ni hawa wapinzani kutokuwa na msimamo wa thati wa kuwang'oa hawa jamaa nadhani ingekuwa vizuri kama wangemsimamisha mmoja. K'wetw atashinda lakini si kwa asilimia 80 kama 2005. Itashuka kuonesha alivyochokwa!
CCM wanavyosemwa wangekuwa ndiyo wewe mkuu sijui ungejitundika! mbona kuna wanachadema wanadharau post zangu na kuona ni mtu tu anayetoa maoni yake?
angalia sasa unapojiweka kwenye childish corner, kuwa ukimkosoa mtu basi inabidi uwe nafasi yake!
So leo Mwafrika ukisema JK hawezi kuongoza basi jibu lake ukachukue nafasi ya urais? yaani ukikosoa tu inabidi uwe substitute ya uliyemkosoa! this is too cheap!
Huwa nasema na nitarudia, vyama vya siasa vimelala, haihitaji degree kujua au kuamini hivyo, wala haihitaji kutuma post kubisha hilo, vinajieleza na kujionyesha! katika hao chadema wamo , so kama unaona post zangu zinakusumbua, pole sana, zitakusumbua sana mwaka huu na miaka yote ijayo. I will speak loud and clear!, kama wewe utapoteza muda wako kusubiri post ya waberoya inayoponda vyama , we subiri utazijibu sana, ila tafadhali uwe unazijibu kwa hoja!
Inaonyesha una mengi unayoyajua kuhusu mimi, uwanja wa wazi huu wewe sema tu, kama unaona kuandika chochote inakupa raha!
Nafurahi unanipa title ya kuwa mimi ni CCM, wa CCM nao wananichukia kama wewe!
Mwafrika mkuu, tuliza boli, just think for a minute, ninaharibu nini chadema mimi kama waberoya? na je chadema wanagain chochote kutokana na hizi critics? kama hizi crititics hazileti faida kwa chadema, then what will be difference btn chadema and CCM?
umekuwa kama Marmo si marmo, chiligati si chligati, makamba si makamba wa Chadema!!
ukiona post zangu just consider I am a fool!! hakuna watu unaowaona na kuwadharau katika misha yako???, kwa nini mimi nisiwe mmoja wapo?, naomba uniweke kwenye hilo kundi, ukiona post zangu '' just say jinga hili'' maana utapata ugonjwa wa moyo, wengine tuna shock absrober ndiyo maana unaweza kucriticise vitu vilivyo wazi na tuko tayari kukosolewa vile vile!
yaani toka mwaka 1995 kila mwaka uliofuatia vyama vinapata kura pungufu , wewe unaona hamna tatizo hapo! umerela!!x, because you like chadema so much. Halafu ukiona wana CCM wanampokea EL, RA na Chenge kwa mazuria unaona hawana akili, kumbe mko sawa kwa viwango na majina ya vyama tofauti.
Dear Mwafrika, Chadema ikizibeba hizi critics na kuzifanyia kazi wanapata kura na tutashangilia wote, kuna faida gani ya kupeana matumaini pasipo na matumaini??
Au umefikia level ya kuona leo hii mgombea wa chadema atakuwa threat kwa CCM huku kiongozi wenu shida salumu anasema JK forever!!
Duu
huo ushauri ktk nyeusi hapo naukumbuka, lakini kumbukumbu zangu zinaonyesha zilitolewa na ID tofauti na mwafrika.teh teh teh teh
Nirekebishe kama nimekosea.
CCM wanavyosemwa wangekuwa ndiyo wewe mkuu sijui ungejitundika! mbona kuna wanachadema wanadharau post zangu na kuona ni mtu tu anayetoa maoni yake?
angalia sasa unapojiweka kwenye childish corner, kuwa ukimkosoa mtu basi inabidi uwe nafasi yake!
So leo Mwafrika ukisema JK hawezi kuongoza basi jibu lake ukachukue nafasi ya urais? yaani ukikosoa tu inabidi uwe substitute ya uliyemkosoa! this is too cheap!
Huwa nasema na nitarudia, vyama vya siasa vimelala, haihitaji degree kujua au kuamini hivyo, wala haihitaji kutuma post kubisha hilo, vinajieleza na kujionyesha! katika hao chadema wamo , so kama unaona post zangu zinakusumbua, pole sana, zitakusumbua sana mwaka huu na miaka yote ijayo. I will speak loud and clear!, kama wewe utapoteza muda wako kusubiri post ya waberoya inayoponda vyama , we subiri utazijibu sana, ila tafadhali uwe unazijibu kwa hoja!
Inaonyesha una mengi unayoyajua kuhusu mimi, uwanja wa wazi huu wewe sema tu, kama unaona kuandika chochote inakupa raha!
Nafurahi unanipa title ya kuwa mimi ni CCM, wa CCM nao wananichukia kama wewe!
Mwafrika mkuu, tuliza boli, just think for a minute, ninaharibu nini chadema mimi kama waberoya? na je chadema wanagain chochote kutokana na hizi critics? kama hizi crititics hazileti faida kwa chadema, then what will be difference btn chadema and CCM?
umekuwa kama Marmo si marmo, chiligati si chligati, makamba si makamba wa Chadema!!
ukiona post zangu just consider I am a fool!! hakuna watu unaowaona na kuwadharau katika misha yako???, kwa nini mimi nisiwe mmoja wapo?, naomba uniweke kwenye hilo kundi, ukiona post zangu '' just say jinga hili'' maana utapata ugonjwa wa moyo, wengine tuna shock absrober ndiyo maana unaweza kucriticise vitu vilivyo wazi na tuko tayari kukosolewa vile vile!
yaani toka mwaka 1995 kila mwaka uliofuatia vyama vinapata kura pungufu , wewe unaona hamna tatizo hapo! umerela!!x, because you like chadema so much. Halafu ukiona wana CCM wanampokea EL, RA na Chenge kwa mazuria unaona hawana akili, kumbe mko sawa kwa viwango na majina ya vyama tofauti.
Dear Mwafrika, Chadema ikizibeba hizi critics na kuzifanyia kazi wanapata kura na tutashangilia wote, kuna faida gani ya kupeana matumaini pasipo na matumaini??
Au umefikia level ya kuona leo hii mgombea wa chadema atakuwa threat kwa CCM huku kiongozi wenu shida salumu anasema JK forever!!
Kuna uwezekano mkubwa kwa JK kuwa mgombea pekee kama wapinzani (na ndani ya CCM) wataendelea kuweka mbele woga na maslahi binafsi zaidi ya ukombozi wa nchi.
Wapinzani wanaona uwezekano wa kushinda ni mdogo kwa hiyo dawa ni kukacha kuweka wagombea imara, na Ndani ya CCM wanaogopa vibano kama wakishindwa na JK.
Ningependa tu kuwakumbusha wote kuwa, hakuna kitu kinachobadilika bila kusukumwa. Ingawa kwenye kujaribu kuna kushindwa, ni muhimu zaidi kuelewa kuwa bila kujaribu hakuna uwezekano wa mabadiliko yoyote kutokea.
JK needs to be challenged no matter how strong he is or the repercussions for doing so. Remember, even Hillary Clinton was once thought to be unbeatable, but was she?
Teh teh teh
tatizo umetoa ushauri neno kwa neno, teh teh na wakati huo huo unataja id za kumshauri Waberoya zinazosharabiana sana kimtizamo na kimawazo.teh teh teh
ni muono tu
Kwenye nyeusi hapo juu, basi wewe mtoto mkiwa.teh teh teh
Timu hii mkuu, they have the same motto, same agenda, same mind, same focus, mtu yeyote akisogea karibu yao ni vita. yaani ndiyo unagundua kabisa.
Yaani reaction ya wanachama wengi wa chadema sipati picha kabisa, iko so defencive, yaani wala hauamini. kuna mtu anaitwa sera ya majimbo na (wengine baadhi), Mnyika, Slaa wako so polite kupokea criticism na kujibu kikomavu. Hawa wengine naona kabisa kama akina Komba, twende ukaimbe mtwara yumo, twende kilosa yumo, twende kigoma yumo!
I dont see the problem ya kusema vyama vya siasa ni dhaifu mtu a-react mpaka kutoka povu.
so their comment zitakuwa zina recycle kila siku, kwa mtu yule yule.
Wewe mpaka mwana CCM damu FMES anaanzisha thread ya mbwembwe na kuwajoke wapinzani kuwa CCM will rule forever na kila argument unaona ina support ukweli huu, still mtu anasema mimi mpenzi wa chama fulani, inakuwa mtu anaenda kwa mwendo wa konokono akigusa tu kitu anabdaili njia, akiend huku na kuona barrier anageukia huku, we need breakthrough!!!
Kaka acha tu, nawapa hongera wale wanaokuwa na side na yet wanazipokea criticism! nao wana ji-criticise wao wenyewe!
Mkuu anasema nianzishe chama, yaani uki-differ tu na chadema we anzisha chama! CCJ nao sijui walikuwa wakosoaji wa chadema.
mwishowe vyama vya siasa vitajaa kama makanisa ya kwetu mbeya, kila nyumba kanisa, halafu mtu anaona is just okey!! tuwe na utitiri wa vyama. wananchi wanavidharau vyote!! na CCM wanaendelea kupeta
Mkamap kweli haumi ndugu yangu miaka minnne yoote watu tunapiga kelele ya ufisadi leo hii watu wanasema hawagombei urais, na ata wakigombea hakuna probability ya kushinda, leo Slaa akisimamishwa na Sofia Simba, sofia simba atakuwa rais still mtu anasema it is okey with that!
Timu hii mkuu, they have the same motto, same agenda, same mind, same focus, mtu yeyote akisogea karibu yao ni vita. yaani ndiyo unagundua kabisa.
Yaani reaction ya wanachama wengi wa chadema sipati picha kabisa, iko so defencive, yaani wala hauamini. kuna mtu anaitwa sera ya majimbo na (wengine baadhi), Mnyika, Slaa wako so polite kupokea criticism na kujibu kikomavu. Hawa wengine naona kabisa kama akina Komba, twende ukaimbe mtwara yumo, twende kilosa yumo, twende kigoma yumo!
I dont see the problem ya kusema vyama vya siasa ni dhaifu mtu a-react mpaka kutoka povu.
so their comment zitakuwa zina recycle kila siku, kwa mtu yule yule.
Wewe mpaka mwana CCM damu FMES anaanzisha thread ya mbwembwe na kuwajoke wapinzani kuwa CCM will rule forever na kila argument unaona ina support ukweli huu, still mtu anasema mimi mpenzi wa chama fulani, inakuwa mtu anaenda kwa mwendo wa konokono akigusa tu kitu anabdaili njia, akiend huku na kuona barrier anageukia huku, we need breakthrough!!!
Wewe waberoya usimkimbie Mwafrika kuja kwa ID ya Kubwajinga maana wewe thread yeyote itakayoanzishwa hata ikiwa ya tangazo la kifo lazima utaingiza neno kama si Chadema Mbowe au Slaa basi upinzani dhaifu siku hizi humtaji Zitto maana unajua alivyokufanya pale Daruso hadi kilindwa na FFU
Duu
huo ushauri ktk nyeusi hapo naukumbuka, lakini kumbukumbu zangu zinaonyesha zilitolewa na ID tofauti na mwafrika.teh teh teh teh
Nirekebishe kama nimekosea.
Wewe waberoya usimkimbie Mwafrika kuja kwa ID ya Kubwajinga maana wewe thread yeyote itakayoanzishwa hata ikiwa ya tangazo la kifo lazima utaingiza neno kama si Chadema Mbowe au Slaa basi upinzani dhaifu siku hizi humtaji Zitto maana unajua alivyokufanya pale Daruso hadi kilindwa na FFU
wewe Luteni kanali, afadhali umekuja mtu wangu, at least naweza kupumua unajua ku-argue na watu wenye mlengo mmoja ni vizuri zaidi.
Rudi nyuma( siyo hapo ulipokaa) angalia post yangu ya kwanza kabisa niliyopost kuweka mawazo yangu juu ya mwandishi,
Umeona neno chadema sehemu, na je ile post, nilipost kuilinda chadema na vyama vyote vya upinzani au kuviponda vyama vyote.
Let me rephrase
Luteni kwa mfano mtu akisema vyama vyote vya upinzani ni dhaifu wewe mwanachadema hii sentensi unaichukuliaje?? au inakugusa kwa kiasi gani?
Kubwa jinga atafurahi kuona unamfananisha na waberoya, na mimi nafurahi sana kama unaona ninafanana na Kubwa jinga! however what makes you to think that? will it be correct to saay Luteni = mwafrika?? kama siyo kwa nini? na kwa sababu hiyo kwa nini mimi nisiwe tofauti na Kubwa jinga?
Ni ushauri wa bure tu, anzisha chama chako ili uoneshe upinzani wa kweli (kama kweli unao) unavyotakiwa kuwa.
Kinakuumiza sana ukiona chadema haifi... kwa taarifa yako chadema itakuwepo for a long time!
Bado unarudi tu kwenye same play ... mbona wewe usigombee dhidi ya Sofia Simba ili ushinde?
Sasa haya makubwa, wengine tukijaribu kufanya hivyo tunapewa onyo kali na bani la server.
MkamaP nisalimie wapolo wote, mimi ndiye nilimshauri waberoya a.k.a Kubwajinga kama anaona vyama vyote vya upinzani nchin sasa vimefikia 20 havimfai aende sayari ya Mars maana NASS wamengundua maji huko anaweza kupata chama cha kufikiria anachokitamani kiwe au aanzishe chama chake cha Waberoya True and Real Party(WTRP).
Yaani unanifanisha mimi na Slaa?? LMAO!!
nilikupa assignment ya kuwa unipe sababu ya mimi kuingia chadema, hujaweza kuni-convince, nikija nitawasaidia sana, na nitaanza na kuwabadili watu kama wewe, wawe na mtazamo wa free thinking siyo kama akina Makamba. Najua haitakuwa rahisi lakini kwa sababu wewe ni ndugu yangu nitajaribu, sio rahisi inabidi kujitoa sana , na inategemea sana na wazee wa chama kama watanipa nafasi ya kuendesha semina, maana jamaa wale wana remote control.
wakisema pause una pause, wakisema runa una-run. sasa hivi sijui wamebonyeza function gani sijui ili mwafrika ujibizane na waberoya. na sijajua wanatumia remote gani, maana inaonekana iko very powerful!
MkamaP nisalimie wapolo wote, mimi ndiye nilimshauri waberoya a.k.a Kubwajinga kama anaona vyama vyote vya upinzani nchin sasa vimefikia 20 havimfai aende sayari ya Mars maana NASS wamengundua maji huko anaweza kupata chama cha kufikiria anachokitamani kiwe au aanzishe chama chake cha Waberoya True and Real Party(WTRP).
Slaa sio mnafiki.. usijaribu hata kujipa cheo usichokuwa nacho
Chadema haitaki watu wanafiki kama wewe. Thanks but no thanks!
mwafrika yuko kwenye mission kufukua mamluki wa ccm wanaojipendekeza hapa na kujivika vazi la upinzani. imekuwa tu bahati mbaya kwako kuwa wewe ndiye uko kwenye mwanga leo.