Kikuu online marketing

Kikuu online marketing

Joined
Feb 6, 2021
Posts
12
Reaction score
34
Wakuu samahani nahitaji kununua hii bidhaa online marketing ambayo ni kikuuu ila nna wasiwasi
Screenshot_20211028-165252.png
sasa naweza nikapata hii simu yenyew au ntakua nmepigwa
 
Tafuta dawa za kuondoa stress kwanza kabla ya kulipia mzigo

Hiyo picha inaonekana simu nzuri lakn ukiipata itakuwa tofauti na jinsi unavyotegemea.

Niliwahi kuaguza memory stick 120 GB lakn nilipoipata ilikuwa 30 GB na hakuna wa kurudisha mpunga
 
Tafuta dawa za kuondoa stress kwanza kabla ya kulipia mzigo

Hiyo picha inaonekana simu nzuri lakn ukiipata itakuwa tofauti na jinsi unavyotegemea.

Niliwahi kuaguza memory stick 120 GB lakn nilipoipata ilikuwa 30 GB na hakuna wa kurudisha mpunga
Kumbe sometimes wanazngua
 
haya masimi wenzako wameyanunu baada ya kiyashika hata mteja wa kumuuzia kwa elfu 25 kakosekana.

jaa upauliwe.
 
Kwa ufupi KIKUU wapo vizuri unapolipia mpaka kupata mzigo wako, moja ya ushaidi ni mimi mwenyewe, mara ya kwanza niliagiza mzigo usiozidi shs 20kl ukafika mpaka mlangoni.

Mara ya pili nikaongeza kidogo, na mara ya tatu nikaagiza mazagazaga tofauti ya elektroniki yalifika salama.

KiKUU wao hawana tatizo, wenye matatizo ni zile kampuni unazonunua kwao na kikuu wanafungasha kuanza kusafirisha, ila binafsi hawajawahi kuniangusha.

Mtoa mada unatakiwa ukiona bidhaa ifungue utaletwa maelezo ya kina kuhusu hiyo bidhaa badala la kukurupuka as you done.
 
Back
Top Bottom